Saturday, July 11, 2015

Mfahamu Bernard Kamilius Membe, mmoja wa wagombea watano. Ni mbunge wa jimbo la Mtama (2000 - 2015), na waziri wa mambo ya nje Tanzania (2007-2015). Mhe. Membe amesomea Sayansi ya Siasa katika Chuo Kikuu Cha Dar-es-salaam na Mahusiano ya Kimataifa katika chuo cha Johns Hopkins, na amepitia mafunzo ya kijeshi (nationa service) kwa mwaka mmoja katika kambi la kijeshi la Oljoro (Arusha) #KaribuDodoma UMOJA...
. Wachezaji wa zamani wa Fc Barcelona ya Hispania Ronaldinho Gaucho na Victor Valdes uwenda wakaungana na mchezaji mwenzao wa zamani wa klabu hiyo Samuel Eto’o nchini Uturuki. Story inayovutia wapenzi wa soka duniani kuhusu hawa ma star sio kucheza tena pamoja ila ni timu wanayo kwenda kuichezea Antalyaspor ya nchini Uturuki ambayo ndio imepanda daraja msimu huu. Ni nadra sana kukuta ma star...
Klabu ya Manchester United imekubaliana kimsingi na mabingwa wa Bayern Munich juu ya usajili wa kiungo wa timu ya taifa ya Ujerumani Bastian Schweinsteiger.   Bastian, mwenye umri wa miaka 30, aliomba mwenyewe klabu ya Bayern Munich kutompa mkataba mpya na angependa kwenda sehemu nyingine. Mkurugenzi mkuu wa Bayern Karl-Heinz Rummenigge ameongea na waandishi ...
. Baada ya chama cha Mapinduzi kupitisha majina matano kwenye tano bora ya Wagombea CCM nafasi ya Urais 2015 kupitia chama hicho. Sasa kiongozi wa Chama Cha ACT Wazalendo, Mh Zitto Kabwe leo amefunguka kuhusu chama chake kumteua mgombea au kuunga mkono mgombea cha chama kingine. Kupitia kwenye ukurasa wake wa twitter amewahabarisha wananchi kwa kusema…’Chama ...
. Baada ya jina la katibu Mkuu wa Chadema Dk Wibroad Slaa likiwa limeteuliwa na UKAWA kuwa mgombea wake wa nafasi ya Urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba. Dakika chache zilizopita kwenye ukurasa  wa @twitter wa Dr Slaa kathibitisha kuteuliwa na UKAWA. . “Nashukuru UKAWA kwa imani kubwa. Kazi ya mabadiliko iliyoanza 1992 kwa vyama vingi imebakiza miezi michache kushinda....
Pichaz zilianza kusambaa mitandaoni, baadae ikaja stori kuhusu Wagombea walioteuliwa kwenye Urais kupitia CCM. Muda unavyozidi kwenda ukweli wa hii stori unachukua nafasi zaidi, kwenye ukurasa wa @Twitter wa Rais JK kathibitisha majina haya matano kupitishwa na Kamati Kuu ya CCM Dodoma. “Kamati Kuu imefanya kazi ya kwanza. Majina matano ya awali ni: Bernard Membe...

waliotembelea blog