Rais wa oganaizesheni ya ngumi za kulipwa nchini TPBO
Yassini Abdalla kushoto akisalimiana na bondia Wang Xin Hua kutoka China
mara baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius
Nyerere Dar es salaam jana kwa ajili ya mpambano wake na mohamed Matumla
utakaofanyika march 27 katika ukumbi wa diamond jubilee katikati...
Monday, March 23, 2015


TIMU
ya soka ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars, jana ilijiweka kwenye nafasi
nzuri ya kufuzu kucheza fainali za Afrika baada ya kuichapa Zambia
mabao 4-2 katika mechi ya awali iliyochezwa mjini Lusaka.Kutokana na
ushindi huo, Twiga Stars sasa inahitaji sare ya aina yoyote timu hizo
zitakaporudiana wiki mbili zijazo kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.Habari
kutoka Zambia zimeeleza...



Hii ndio nyumba mpya ya mwanamuziki anae wakimbiza wenziwe barani
Africa Diamond Platnumz ambayo mwenyewe ameipa jina la "STATE HOUSE" kwa
mujibu wa maelezo yake mwenyewe hii ni moja ya kati ya nyumba kumi
anazo zimiliki Jikoni ndio hapo everything on point Diamond Aliweka hii caption kwenye picha hii. "In my 70Million Pure Gold plated toillet...pupping and Movies Lol!��..i...


Luis
Suarez akishangilia vikali baada ya kuishindilia bao la Ushindi Real
Madrid na kuipatia Ushindi wa El Clasico Barcelona wa bao 2-1 leo huko
Camp Nou.Kipindi cha pili dakika ya 56 Luis Suárez aliifungia bao la pili na kufanya 2-1 dhidi ya Real baada ya kupata mpira kutoka kwa Daniel
Alves. Ushindi huu umeipaisha Barcelona juu kileleni wakiwa na pointi
68 nyuma ya pointi 4 Real Madrid...


Raffael Araújo wa Borussia MonchengladbachBayern
Munich leo wamefungwa bao 2-0 bila kujitetea na mchezaji Raffael Araújo
wa Borussia Monchengladbach, Bao zilifungwa na dakika 30 na kipindi cha
pili dakika ya 77 na mchezaji huyo huyo Raffael Araújo. Bayern
Munich leo wamefungwa bao 2-0 bila kujitetea na mchezaji Raffael Araújo
wa Borussia Monchengladbach, Bao zilifungwa na dakika 30 na...


Loïc Remy dakika ya 77 aliipa bao la
tatu Chelsea na kufanya matokeo kuwa 3-2 na mpira kumalizika kwa Chelsea
kuibuka kidedea. Ushindi huu unawapaisha Chelsea kileleni wakiwa na
pointi 6 wakiwa na pointi 67 dhidi ya Man City ambaye yupo nafasi ya
pili ambaye ana pointi 61.
Oscar akishangilia bao pamoja na Remy baada ya kupaa zaidi kileleni mwa Ligi BPL.
Remy alikimbia...


2-0 Man United ilifanikiwa kupata bao mbili kupitia kwa Juan Mata.2-0
Juna Mata (Katikati) akishangilia bao lake la pili kwa Man United. Rooney akimpongeza Juan MataUshindi
huu umewapandisha Man United wakiwa nyuma ya pointi moja dhidi ya Timu
ya Arsenal, United wakiwa na pointi 59 na Arsenal 60. Liverpoo wao
wamebakia hapo walipo wakiwa nafasi ya tano na pointi zao 54 mbele ya
pionti moja...
Subscribe to:
Posts (Atom)