
BEKI Matteo Darmian atasaini Manchester United baada ya kukubali Mkataba wa miaka minne.
United
imekubai kutoa ada ya uhamisho ya Pauni Milioni 12.7 kwa Torino, ambayo
inaweza kuongezeka hadi Pauni Milioni 14.4 iwapoa mchezaji huyo
atafanya vizuri.
Klabu ya kwanza ya Darmian, AC Milan pia inatarajiwa kupata Pauni 287,000 kama...