...
Friday, March 7, 2014


Klabu
ya Arsenal imeshangazwa na kitendo cha benchi la ufundi la England
kuendelea kumchezesha Wilshere akiwa majeruhi kwenye mechi ya kirafiki
kati ya England na Denmark. Taarifa hii ya Arsenal imetolewa na
madaktari wa timu baada ya kumfanyia vipimo mchezaji huyu na kugundua
majeraha makubwa kwenye mguu wake wa kushoto baada ya kuchezewa rafu
mbaya na beki wa Denmark, Daniel Agger....
Subscribe to:
Posts (Atom)