Tuesday, March 18, 2014

...
Picha zifuatazo zinaonesha tukio la mshika kamera ya kuchukua matukio kwenye ligi ya Ujerumani alivyopamiwa na mchezaji wa Hoffenheim, Andreas Beck hadi kuzimia hapo hapo uwanjani. Baada ya tukio hili mshika kamera huyo alipelewa haraka hospitali ili kufanyiwa matibabu zaidi. Kutokana na tukio hili tayari mashirikisho ya mpira duniani yameanza kufanyia kazi mfumo mzima wa kuweka...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akifungua mkutano wa Wafanyabiashara na Wawekezaji kati ya Israel na Tanzania, katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, Machi 17, 2014. Picha na OMR Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akisalimina na Makamu...

waliotembelea blog