.jpg)
UONGOZI wa Coastal Union,Wagosi wa Kaya
umeingia mkataba wa miaka miwili na aliyekuwa Kocha Mkuu wa Kagera
Sugar, Jackson Mayanja kuifundisha timu ya Coastal Union katika msimu
ujao wa Ligi kuu soka Tanzania Bara itakayoanza Mwezi Agosti mwaka huu .
Kocha huyo ambaye ni raia wa Uganda, ameingia karandasi ya kuinoa
Coastal Union leo jijini Tanga mbele ya...