Wasichana
wanne wa Tanzania wakiaga kwa kupungia mikono huku wakiwa na , Bendera
ya Taifa waliyokabidhiwa na Kamishna Mkuu wa Chama cha Tanzania Girl
Guids (TGGA), Symphorosa Hangi katika hafla ya kuwaaga kwenda Uganda
ambako watakutana na wenzao 31 kutoka nchi za Afrika Mashariki na Kati
katika mafunzo ya uongozi na utamaduni katika nchi hizo. Hafla hiyo
ilifanyika...