Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia
Ackson (kulia) akifungua Kikao cha Uongozi cha Chama cha Mabunge ya
Jumuiya ya Madola Afrika kilichofanyika jijini Dar es Salaam, 02 July,
2016. Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia
Ackson (wa tatu toka kushoto) akiongea na Viongozi wa Chama cha Mabunge
ya Jumuiya ya Madola Afrika...
Saturday, July 2, 2016



Waziri
wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, (Sera, Bunge, Kazi, ajira, vijana na
wenye ulemavu), Jenista Mhagama, (kulia), akizungumza jambo wakati
alipotembelea banda la Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi, (WCF), kwenye
maonyesho ya 40 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, kwenye
viwanja vya Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam, Julai 2, 2016. Kulia
ni Afisa Uhusiano Mwandamizi wa WCF, Fulgence...



Makamu
wa Pili wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akimkaribisha kwa mazungumzo
Ofisini kwake katika Jengo la SMZ Magogoni Jijiji Dar es salaam Balozi
wa Jamuhuri ya Watu wa China Bwana Lu Youqing.
Balozi
wa Jamuhuri ya Watu wa China Bwana Lu Youqing kati kati akielezea
mikakati atakayoitekeleza katika kuratibu usimamizi wa miradi ya
Zanzibar iliyopata ufadhili wa Nchi yake ya China.
Makamu
...
Subscribe to:
Posts (Atom)