Manchester
United inasaka ushindi wake wa sita mfululizo kwenye Ligi Kuu England
Jumapili Uwanjani Old Trafford kwa kuendeleza machungu kwa Liverpool
ambayo ipo mrama Msimu huu.Baada
ya kuanza vibaya Msimu huu ukiwa ni mwendelezo wa Msimu uliopita
walipomaliza Nafasi ya 7 wakati Liverpool iliukosa Ubingwa kidogo na
kumaliza Nafasi ya Pili, Man United hivi karibuni imekaza uzi licha ya...
Friday, December 12, 2014


Ronaldo ndie aliyeanza kuwapa bao Real
Cristiano Ronaldo ndie aliyeifungulia
bao la kwanza Real dakika ya 20 kwa mkwaju wa penati na Gareth Bale
kufunga bao la pili dakika ya 38 na kipindi cha kwanza kumalizika kwa
2-0. Kipindi cha pili kilikuwa cha Álvaro Arbeloa aliyefunga katika
dakika ya 79 na tena Álvaro Medrán alitupia nae tena dakika ya 88 dhidi
ya Ludogorets Razgrad na mtanange...
Subscribe to:
Posts (Atom)