VODACOM PREMIER LEAGUE: LIVE MATCH - KAGERA SUGAR 1 vs YANGA 2, ..Second Half!
Kikosi cha Kagaera Sugar kilichoanza
Kikosi cha Yanga
Waamuzi wa mtanange huu
Waamuzi na Timu Kapteni wakiteta jambo muda mfupi kabla ya mpira kuanza
Benchi la Yanga kushoto ni Kocha mkuu
Benchi la Kagera Sugar
Dakika ya 2 Mpira ukirushwa kama kona na
Kipa kuupangulia kwa adui na Hatimaye Mshambuliaji...
Saturday, October 12, 2013



Tanzania ikitajwa kuwa ni miongoni mwa nchi zenye amani na
utulivu, imebainika kuwa Watanzania ni miongoni mwa watu wasio na furaha
na waliokata tamaa hapa duniani.
Ripoti inayoonyesha orodha ya nchi zenye furaha
duniani ya mwaka 2013 (World Happiness Report 2013), imeitaja Tanzania
kuwa ni miongoni mwa nchi 10 za mwisho duniani kati ya nchi 156
zilizofanyiwa...


Wahamiaji
haramu 16 kutoka nchini somalia wamekamatwa Mkoani morogoro wakiwa
wamejificha katika lori la mizigo lililosheni chokaa likitokea jijini
dar es salaam kuelekea mkoani mbeya
Kupatikana
kwa wahamiaji haramu hao kunatokana na ushirikiano wa wananchi ambao
umesaidia kukamatwa kwa wahamiaji hao huku wakidai kuwa baadhi yao
walikosa hewa...



Nick Cannon na Kim Kardashian
Tupac Shakur na Jada Pinkett
Kati ya zote hawa ndo waliyoniacha hoi!!
Rihanna na Lewis Hamillton aliyekuwa mpenzi wa mda mrefu wa Nicole Schezinger
Eddie Murphy na Toni Braxton
Tyra Banks na Will Smith
Nilipigwa a butwaa baada ya kugundua kuwa wasanii hawa walikuwa wapenzi hapo awali, unadhani wanamatch? Toa maoni yako hapa....
Subscribe to:
Posts (Atom)