Friday, February 20, 2015

Mwanamuziki Moses Bushangama maarufu kama Mez B amefariki dunia. Mez B alikuwa mmoja wa wanamziki wanaounda kundi la Chamber squard,amefariki leo mjini Dodoma, habari hizi zimethibitishwa na mama yake mzazi.R.I.P Mez ...
Mechi ya Robo Fainali ya Kombe kongwe Duniani FA CUP kati ya Timu zinazoshikilia Rekodi ya kulitwaa mara nyingi kupita wengine, Manchester United na Arsenal, imethibitishwa kuwa itachezwa Old Trafford Jijini Mnchester hapo Jumatatu Machi 9 kuanzia Saa 4 Dakika 45 Usiku, Bongo Taimu.Man United na Arsenal kila mmoja amelitwaa Kombe hili mara 11 lakini mara ya mwisho kwa Man United kulitwaa...

waliotembelea blog