Neymar kulia akishangilia bao lake la ushindi dhidi ya Colombia leo hii Ijumaa walipoichabanga bao 1-0
Neymarakikimbiza na Juan Zuniga huko Miami
Radamel Falcao kwenye patashika akikabwa
Wakicheza hii Leo huko Sun Life Stadium,
Miami ikiwa ni Mechi yao ya kwanza chini ya Kocha Dunga na pia hii
ikiwa ni Mechi ya kwanza kwa Neymar kuichezea Brazil tangu avunjwe Mfupa
...
Friday, September 5, 2014



Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji Clouds Media Group,pichani wa tatu
shoto Ruge Mutahaba akiwa sambamba na baadhi ya wasanii waliokuwa
wakitarajiwa kutumbuiza leo usiku mjini Musoma kwenye tamasha la
Fiesta,lakini hata hivyo Uongozi wa Clouds Media Group,Prime Time
Priomotions ambao ndio waandaaji pamoja na Wadhamini wa tamasha hilo kwa
pamoja wamekubaliana kuahirisha onyesho hilo...



KOCHA
wa Brazil Dunga amemteua Neymar kuwa Kepteni wa Brazil ambayo baadae
Usiku huu itapambana na Colombia huko Marekani na hii ni Mechi ya kwanza
kwa Neymar kuichezea Brazil tangu avunjwe Mfupa wa Mgongoni na Juan
Zuniga wa Colombia. Neymar, mwenye Miaka 22, alianza vyema na Nchi
yake Brazil kwenye Fainali za Kombe la Dunia zilizochezwa Nchini humo
Mwezi Juni na Julai lakini kwenye...


Mchezaji
Ismail Gunduz wa SK Rum ya Austria amefungiwa kutocheza mechi 70 ikiwa
ni adhabu baada ya mchezaji huyo kumpiga kichwa uwanjani mwamuzi wa
mchezo. Gunduz anayechezea timu ya daraja la tano ya SK RUM alimpiga
mwamuzi siku ya Jumamosi kwa kichwa muda mfupi kabla ya mwamuzi huyo
kupuliza kipyenga cha kumaliza mchezo. Hata hivyo mwamuzi huyo alikimbizwa hospitali kwa matibabu kutokana...



Vijana
wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao huku wakiongozwa na
Mary Lucos (kushoto) katika show zao za kila Ijumaa kwenye kiota cha
Thai Village Masaki jijini Dar bila kusahau leo pia watakuwepo kuanzia
saa tatu usiku. Mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na nyimbo mbalimbali zilizokuwa zikiporomoshwa na bendi hiyo. Sony
Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo akifanya yake...


Katukana: Bosi wa England, Roy Hodgson
amejibu mapigo kutokana na kitendo cha kukosolewa baada ya kuonesha
kiwango cha chini dhidi ya Norway
ROY Hodgson amegeuka 'mbogo' baada ya
kukosolewa kwa kitendo cha England kuonesha kiwango 'mbofumbofu' katika
ushindi wa 1-0 dhidi ya Norway katika dimba la Wembley.
Kocha huyo aliulizwa kutoa maoni yake
kutokana na timu yake...


Zlatan Ibrahimovic alifunga bao lake la 50 katika mechi ya kimataifa ya kirafiki dhidi ya Estonia
MSHAMBULIAJI wa PSG, Zlatan Ibrahimovic ameweka rekodi ya kuwa mfalme wa ufungaji wa mabao wa wakati wote wa Sweden.
Nyota huyo mwenye miaka 32 alifunga bao safi katika mechi ya kirafiki
baina ya Sweden na Estonia na kufikisha mabao 50, akivunja rekodi ya
Sven Rydell ambaye kwa mara ya mwisho...



Vijana
wa Skylight Band wakitoa burudani kwa mashabiki wao huku wakiongozwa na
Mary Lucos (kushoto) katika show zao za kila Ijumaa kwenye kiota cha
Thai Village Masaki jijini Dar bila kusahau leo pia watakuwepo kuanzia
saa tatu usiku. Mashabiki wa Skylight Band wakiburudika na nyimbo mbalimbali zilizokuwa zikiporomoshwa na bendi hiyo. Sony
Masamba a.k.a Fally Ipupa wa Bongo akifanya...


MCHEZAJI
MPYA wa Manchester United Marcos Rojo sasa amepatiwa Viza ya kufanya
kazi Nchini Uingereza na hivyo yuko huru kuichezea Klabu yake hapo
Septemba 14 itakapoivaa QPR Uwanjani Old Trafford kwenye Mechi ya Ligi
Kuu England. Nyota huyo wa Argentina mwenye Miaka 24 alijiunga na
Man United kutoka Sporting Lisbon ya Ureno Siku 16 zilizopita lakini
alikwama kuichezea. Iliripotiwa kuchelewa...


MCHAMBUZI
na Mtaalam wa Soka la Spain, Paul Breen-Turner, anaamini Staa wa Real
Madrid Cristiano Ronaldo anajisafishia njia ya kurudi Klabu yake ya
zamani Manchester United. Ronaldo, ambae ndie Mchezaji Bora Duniani,
aliihama Man United Mwaka 2009 na kujiunga na Real Madrid lakini Siku
zote amekataa kukanusha kwamba hatarudi Old Trafford ambako ndiko Ustaa
wake ulichipukia. Breen-Turner
...


Sir
Alex Ferguson akizungumza na Carlo Ancelotti na Arsene Wenger katika
mkutano wa makocha mjini Nyon MKUTANO wa mwaka wa makocha wa kiwango cha
juu umeanza jana jumatano na kumalizika leo, makao makuu ya UEFA, mjini
Nyon, Uswizi.
Kocha wa zamani wa Manchester United,
Sir Alex Ferguson alikuwa mwenyekiti wa mkutano huo akiwa kama balozi wa
makocha wa UEFA , wakati naye...
Subscribe to:
Posts (Atom)