
KLABU ya Tottenham imekamilisha usajili wa kiungo Paulinho kutoka Corinthians kwa ada ya Pauni Milioni 17.1.
Spurs imetangaza leo asubuhi kwamba, kiungo hiyo Mbrazil mwenye umri wa miaka 24 amekamilisha upimaji wa afya katika klabu hiyo.
Paulinho amesema: "Nina furaha sana
ninayevutiwa na kuhamia Spurs. Ni kitu kizuri katika maisha yangu ya
soka kuwa katika klabu kunwa kama Tottenham,".
Sura...