Wednesday, August 20, 2014

Marcos Rojo Tayari amewasili Nchini  England leo jumatano na akiwa tayri kupimwa afya kujiunga na  Manchester United msimu mpya 2014/15.Beki wa Sporting Lisbon Marcos Rojo ametoa fununu kubwa kwamba yeye na Mchezaji mwenzake wa Argentina Angel Di Maria wako njiani kuhamia Manchester United.Ripoti nzito toka huko England zimetoboa kuwa tayari Man United imewasilisha Ofa ya Pauni...

waliotembelea blog