KIUNGO
wa Manchester City, Samir Nasri ameachwa katika kikosi cha awali cha
timu ya taifa ya Ufaransa kwa ajili ya kombe la dunia mwezi ujao nchini
Brazil.
Nasri alitarajia kuachwa na kocha Didier Deschamps baada ya Raphael Varane kukabidhiwa nafasi yake.
Franck Ribery, Karim Benzema, Patrice Evra, Paul Pogba na Yohan Cabaye wote wamejumuishwa.
Kikosi kizima...
Tuesday, May 13, 2014


CARLOS Tevez ameachwa kwenye kikosi cha awali cha kocha wa Argentina, Alejandro Sabella kwa ajili ya kombe la dunia mwezi ujao nchini Brazil.
Mshambuliaji huyo wa Juventus licha ya kuonesha kiwango
kizuri katika ligi ya Seria A, bado hajamshawishi Sabella kuingizwa
katika kikosi cha timu ya taifa kinachojiandaa kwenda nchini Afrika
kusini.
Franco Di Santo, Rodrigo Palacio...
Subscribe to:
Posts (Atom)