KAMATI
ya Marefa ya UEFA imeteua Marefa 18 ambao watasimamia Mechi 51 za
Fainali za Kombe la Mataifa ya Ulaya, EURO 2016, zitakazochezwa Nchi
France Makani. Kama ilivyokuwa kwa EURO 2012 na Mechi za kufuzu
Fainali za UEFA EURO 2016, Mechi 1 itachezwa na Refa akisaidiwa na
Wasaidizi Wawili wa pembeni mwa Uwanja na Wawili kwenye Mstari wa nyuma
ya Magoli. Wengi wa Marefa Wasaidizi...
Tuesday, December 15, 2015


Remy dakika ya 77 aliipatia Chelsea bao na kufanya 2-1 kwa kuunganisha mpira wa kichwa.Riyad Mahrez dakika ya 48 aliwachoma Chelsea bao la pili na kufanya 2-0.Vardy dakika ya 34Diego Costa kaanza kwa ChelseaRiyad Mahrez dakika ya 48VIKOSI: Leicester: Schmeichel; Simpson, Huth, Morgan (c), Fuchs; Mahrez, Kanté, Drinkwater, Albrighton; Ulloa, Vard Subs: Schwarzer, Wasilewski,...


Dani Alves, right, wears sunglasses on arrival ahead of Barca's bid to win the title for a third time in six years Autograph hunters ask for the signatures of Sergio Busquets, left and Thomas Vermaelen Brazil star Neymar (centre) wore dark sunglasses, and kept his headphones in as the players went through Manager Luis Enrique will be hoping to secure a fifth trophy of 2015 when his side...


Msaani
maarufu wa bongofleva, Linex akifanya vitu vyake katika uwanja wa
Mlandege mjini Iringa juzi kwenye tamasha la muziki (Mtikisiko)
lililoandaliwa na redio Ebony FM ya mjini Iringa kwa udhamini wa kampuni
ya simu za mkononi Tigo. Tamasha hilo hufanyika kila mwaka katika mikoa
ya Nyanda za Juu Kusini.Msaani
maarufu wa Hip hop,Darasa akifanya vitu vyake katika uwanja wa Mlandege
...
Subscribe to:
Posts (Atom)