Friday, November 1, 2013

SERIKALI iko katika mazungumzo na nchi za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) na Burundi ili kushirikiana kwa baadhi ya maeneo, hasa kutokana na ukweli kuwa baadhi ya nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Rwanda, Kenya na Uganda, zimeonesha mwelekeo wa kujitenga.   Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, alisema hayo jana alipokuwa akitii mwito...

waliotembelea blog