Baada
ya kuwa marafiki kwa zaidi ya miaka minane Dotto Paul Kahindi
(Mandolin) na Elizabeth Riziki Morris Nguma, Agosti 9, 2014 Mungu
amewajalia kufunga pingu za maisha kwenye kanisa la Katoliki Parokia ya
Mt. Francis wa Assis, mjini Biharamulo, Kagera.
Dotto Paul Kahindi (Mandolin) na
mkewe Elizabeth Morris Nguma katika pozi muda mfupi baada ya kufunga
ndoa kwenye...
Tuesday, August 12, 2014



Meneja masoko wa bia ya Castle lite Vimal Vaghmaria kushoto mwenye
miwani,Meneja wa Castle lite Geofray makau katikati na Meneja
msaidizi wa Castle lite Tanzania Victoria kimaro wakionyesha chupa ya
bia hiyo kwenye uzinduzi wa kampeni ya shindano la kuwapata washindi wa
Castle lite VIP Yacht Party ambapo washindi watafanya tamasha kubwa
ndani ya Boti katika bahari ya Hindi. ...


Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,
Mathias Chikawe (wapili kulia) akimshukuru Ofisa wa Mawasiliano na
Uhusiano wa Kampuni ya Vodacom Tanzania, Georgia Mutagahywa (kushoto)
baada ya kupokea hundi yenye thamani ya Sh. Milioni 40 msaada uliotolewa
kwa ajili ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani inayotarajiwa
kufanyika mwishoni mwa mwezi Septemba mwaka huu, jijini Arusha. Wapili
kushoto ni...
BBC yazindua studio zake nchini,kipindi cha asubuhi cha Amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea Dar



Mkuu
wa Habari wa BBC Idhaa ya Ulimwengu,Bi. Nikki Clarke akikata utepe
kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kurushia Matangazo ya Idhaa ya
Kiswahili ya BBC jijini Dar es Salaam,katika Jengo lao lililopo
Mikocheni.Kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh.
Mkuu
wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh (wa tatu kulia) akiwapatia
maelekezo Waziri...
Subscribe to:
Posts (Atom)