Leo zipo Mechi nyingine kadhaa za Kwanza
za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ikiwa pamoja na ile ya Mabingwa wa Spain
Barcelona wakiwa kwao Nou Camp kucheza na Getafe huku Duniani
ikitarajia kumuona Nyota Lionel Messi akirejea dimbani baada kuwa
Majeruhi kwa Miezi miwili.
Valencia
jana walifanikiwa kutoka Sare ya Bao 1-1 na Mabingwa Watetezi wa Copa
del Rey Atletico Madrid katika Mechi...
Wednesday, January 8, 2014


Dakika
za nyongeza za kipindi cha kwanza 45+2 Giggs anafanya makosa anajifunga
bao, Sunderland wanaenda mapumziko wakiwa mbele ya bao 1-0 dhidi ya
Manchester United. Kipindi cha pili dakika ya 52 Nemanja Vidic
anawasawazishia bao United kwa kufanya 1-1 baada ya kona kupigwa na
Vidic kujituma kwa kufunga bao la kichwa. Dakika ya 65 United wanafungwa
goli la pili kwa mkwaju wa...



HONGERA: Wakili wa CHADEMA Tundu
Lisu (kulia) akilazimika kumpongeza aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa
CHADEMA, Zitto Kabwe baada ya Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya
Dar es Salaam, John Mkamwa, kuridhia zuio la Zitto asijadiliwe na ngazi
yoyote ya maamuzi ya Chadema, hadi kesi ya msingi aliyofungua dhidi ya
chama hicho itakapomalizika. Jaji huyo amekubali kesi ya msingi
iungurume...
Subscribe to:
Posts (Atom)