Nchini Tanzania michuano ya
kusaka ubingwa wa ligi kuu ya nchi hiyo inaingia mzunguko wa 19 jumamosi
hii kwa mechi tano, zitakazochezwa katika miji ya Dar es Salaam,
Bukoba, Morogoro, Tanga na Arusha.
Mabingwa watetezi Yanga watakuwa nyumbani uwanja
wa Taifa mjini Dar es Salaam kumenyana na Ruvu Shooting...
Friday, February 21, 2014



David
Moyes alimsaini Juan Mata kutoka akiwa na matumaini na mategemeo
makubwa. Juan Mata alionekana kama mtu atakayekuja kuleta mageuzi ya
kuisadia timu hiyo kuingia hata kwenye Top 4. Hata hivyo hali imekuwa
tofauti na matarajio, Manchester United ikishinda mchezo mmoja tu kati
ya minne Mata aliyocheza. Moja ya vitu vinavyoachangia matatizo haya ni
mbinu za kiufundi, hivyo je...


Mechi
ya pili ya raundi ya kwanza kuwania Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC) kati ya
Tanzania (Twiga Stars) na Zambia (Shepolopolo) sasa itachezwa Februari 28 mwaka
huu Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi, Dar es Salaam.
Twiga
Stars tayari ipo kambini kujiandaa kwa mechi hiyo itakayochezwa kuanzia saa 10
kamili jioni. Twiga Stars chini ya Kocha Rogasian Kaijage inafanya...


Ligi
Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara inaingia raundi ya 19
kesho (Februari 22 mwaka huu) kwa mechi tano zitakazochezwa katika miji ya Dar
es Salaam, Bukoba, Morogoro, Tanga na Arusha.
Yanga
itakuwa mgeni wa Ruvu Shooting ya mkoani Pwani katika mechi itakayofanyika
Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Nayo Kagera Sugar inaikaribisha Rhino Rangers
ya Tabora katika...


Arsenal mbele Mesut Ozil bado hajapata nafuu kutoka tamaa ya adhabu
miss ya yake dhidi ya Bayern Munich, kwa mujibu wa meneja Arsenal
Wenger.
Ozil, 25, klabu rekodi ya kusainiwa, aliona yake doa-kick kuokolewa katika midweek Ligi ya Mabingwa hasara na kuomba radhi kwa kushindwa kwa mashabiki katika Picha.
Wenger alisema: "Je, yule alright sasa Hakika si kwa sababu...


Wanawake Mkuu wa Uingereza kushinda ya Olimpiki curling ya shaba, na jiwe ya mwisho ya mechi yao dhidi ya Uswisi.
timu ya Hawa MUIRHEAD, Vicki Adams, Claire Hamilton na Anna Sloan chuma
ushindi 6-5 kushinda kwanza ya Olimpiki medali ya curling Uingereza
tangu Rhona Martin ya dhahabu mwaka 2002.
GB ya watu uso Canada kwa dhahabu saa 13:30 GMT siku ya Ijumaa. Medali zao uhakika hufanya...


Sat 22 Feb 2014 - Premier League
Chelsea v Everton 12:45
Arsenal v Sunderland 15:00
Cardiff v Hull 15:00
Man City v Stoke 15:00
West Brom v Fulham 15:00
West Ham v Southampton 15:00
Crystal Palace v Man Utd 17:30
Sun 23 Feb 2014 - Premier League
Liverpool v Swansea 13:30
Newcastle v Aston Villa 13:30
Norwich v Tottenham 16:00
Sat...
Subscribe to:
Posts (Atom)