
Vipindi
vya Bongo Star search vimeanza kwenda hewani, na siku ya jana imeruka
episode ya kwanza kuonyesha mchujo jinsi ulivyoenda mpaka kubakiwa na
Top 6 (pichani) ya washiriki kutoka Mwanza ambayo itajumuika na washindi
wa mikoa iliyosalia. Kipindi kitakuwa kinaruka kila siku ya Jumapili,
saa tatu kamili kwenye vituo vya televisheni vya Clouds Tv na Star Tv na
marudio yake; Kwa Clouds...