Mpaka dakika 90 zinamalizika United 3 Burnley 1Smalling akishangilia..
Van Persie alifunga bao la tatu kwa mkwaju wa penati baada ya Di Maria kuangushwa ndani ya boksi.Mchezaji
wa Manchester United Chris Smalling aliingia kipindi cha kwanza
kuchukua nafasi ya Phil Jones aliyepata majeraha na ndani ya dakika
chache aliifungia bao la kwanza Man United katika dakika ya 6 na dakika
ya...
Thursday, February 12, 2015


,
1-0Willium (kushoto) akiomba baada ya kuipa bao la Ushindi Chelsea katika dakika ya 89 ya Mchezo kati yao na Everton.Willian
aliipachikia Chelsea bao katika dakika za lala salama dakika ya 89 na
kumaliza Mchezo dakika 90 Chelsea wakiibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi
ya Everton. Ushindi huu unaipaisha zaidi Chelsea Kileleni wakiwa na
pointi 59.Patashika!!Cuadrado alianza kipindi...
Subscribe to:
Posts (Atom)