Wayne RooneySTAA wa Manchester United Wayne Rooney amemmwagia sifa Meneja wake wa zamani Sir Alex Ferguson kwa kumwita ni ‘Mtu wa hodari’. Rooney,
amabe aliripotiwa kugombana na Sir Alex Ferguson Mwaka mmoja uliopita
hasa baada ya kutua kwa Robin van Persie Klabuni hapo, sasa ametimiza
Miaka 10 akiwa na Man United na amesheherekea kwa kumpongeza Ferguson
kwa kumpa nafasi kucheza Old Trafford...
Thursday, September 18, 2014



Warembo
30 wanaoshiriki shindano la Redd's Miss Tanzania 2014 jana walitembelea
hifadhi ya taifa ya Mikumi mkoani Morogoro kujionea vivutio mbalimbali
vya utalii viliovyopo katika hifadhi hiyo ambapo waliweza kujionea
wanyama wa aina mbalimbali wakiwepo, Tembo, Twiga, Swala, Viboko na
Simba....


Klaas Jan Huntelaar akifanya yake kusawazisha baoWachezaji
wa Chelsea wakiwa hoi baada ya Schalke 04 kusawazisha bao kupitia kwa
Klaas Jan Huntelaar katika kipindi cha pili dakika ya 62. Cesc Fàbregas akiachia shuti kali na kufunga1-0Dakika
ya 11 Cesc Fàbregas anaipachikia bao la kwanza Chelsea dhidi ya
Schalke 04. Bao hilo lilipatikana baada ya ushirikiano safi kutoka kwa
Eden Hazard.Cesc...


AS ROMA wakiwa kwao kucheza na CSKA
Moscow kwenye hatua ya makundi Uefa Champions Ligi ndio walianza
kuonesha nia na kiu kwa kuanza kupachika mabao, Wakiifunga bao 4-0
kipindi cha kwanza timu ya CSKA Moscow.Bao
la kwanza lilifungwa na Juan Manuel Iturbe dakika ya 6, Bao la pili
lilifungwa na mchezaji wa zamani wa Arsenal Gervinho katika dakika ya
10, Maicon akapachika bao la tatu dakika...


Gerard
Piqué akishangilia bao lake kipindi cha kwanza dakika ya 28. bao
lililodumu mpaka dakika 90 kumalizika na Barcelona kujichukulia alama 3
muhimu wakiwa nyumbani kwao kwenye mchezo wa Uefa Champions League hatua
ya makundi.Lionel Messi akifukuziwa na Bonge la msitu...Dakika ya 28 Gerard Piqué aliifungia bao la kichwa Barcelona na kuitanguliza 1-0 dhidi ya timu ya APOEL Nicosia....


Kikosi cha timu ya Kipanga kilichotoa upinzani na Timu ya Miembeni
kuilazimisha kutoka sare ya bao 1--1, katika mchezo wa Ligi Kuu ya
Zanzibar. Ikiwa imepanda daraja msimu huo baada ya kudima kwa muda
katika daraja la kwanza na hatimai kufanikiwa kurudi ligi kuu na kutowa
upinzani kwa timu ya miembeni katika uwanja wa amaan.
Kikosi cha timu ya Miembeni kilicholazimisha sare na...
Subscribe to:
Posts (Atom)