Friday, August 29, 2014

KUNDI A  Atletico Madrid  Juventus  Olympiakos  Malmo  KUNDI B  Real Madrid  Basle  LIVERPOOL Ludogorets  KUNDI C  Benfica  Zenit St Petersburg  Bayer Leverkusen  Monaco  KUNDI D  ARSENAL Borussia Dortmund  Galatasaray  Anderlecht  KUNDI E  Bayern Munich MANCHESTER CITY CSKA Moscow  Roma  KUNDI...
UEFA Leo imempa Tuzo yao ya Mchezaji Bora wa Mwaka Cristiano Ronaldo baada ya kuwabwaga kwenye Kura Kipa wa Mabingwa wa Dunia Germany, Manuel Neuer na Mchezaji mwenzake wa Klabu ya Bayern Munich anaechezea Holland, Arjen Robben.Ronaldo, Miaka 29, alifunga Bao 17 katika Mechi 11 za Ulaya wakati Real Madrid inaelekea kutwaa Taji lao la 10 la Ulaya walipobeba Kombe la UEFA CHAMPIONS LIGI...
DROO ya Makundi ya UEFA CHAMPIONS LIGI imefanyika leo hii usiku  huko Monaco na Timu 4 za England, Manchester City, Liverpool, Chelsea,na Arsenal zimepata timu za kucheza nazo. Taswira huko MonacoRonaldo Mchezaji Bora 2014 Ulaya.Ronaldo akibusu tuzo yake yake baada ya kuchaguliwa mchezaji boraRonaldo amewabwaga chini wachezaji wa Bayern Munich kipa Manuel Neuer na Arjen RobbenMchezaji ...
KEPTENI wa Manchester United Wayne Rooney ndie ameteuliwa Nahodha mpya wa England na Meneja wa Timu Roy Hodgson. Rooney, mwenye Miaka 28, anachukua wadhifa huo kutoka kwa Steven Gerrard wa Liverpool ambae amestaafu kuichezea England mara baada ya Nchi hiyo kutolewa hatua ya Makundi ya Fainali za Kombe la Dunia Mwezi Juni huko Brazil. Rooney ameichezea England mara 95 na kufunga Bao 40...
Emanuel Okwi wa Uganda ambaye msimu uliopita alikuwa anaichezea Yanga, akiwa na jezi namba 25 aliyokabidhiwa mara baada ya kusaini tena Simba baada ya kukachwa na Yanga katika usajili wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara inayotarajia kuanza mwezi ujao. Yametimia, hatimaye Emmanuel Okwi amerejea katika kikosi chake cha zamani cha Simba. Okwi rasmi anasaini leo kujiunga na Simba...

waliotembelea blog