Tuesday, June 9, 2015

Wananchi wa kijii cha Rukoma kata ya Rukoma wakiwa wamekusanyika wakimsilikiza Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana alipokuwa akiwahutubia katika mkutano wa hadhara jioni ya leo Bukoba vijijini. Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Kinana yuko katika ziara ya kikazi katika mikoa ya Kagera , Geita na Mwanza akikagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo na kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya...
Eugénie Le Sommer akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Timu yake bao katika dakika ya 29 kipindi cha kwanza kwenye Mchezo wa mpira wa Wanawake.Pongezi kwa Eugenie Le SommerKipindi cha kwanza dakika ya 29 Eugénie Le Sommer aliwafungia bao la pekee la Ushindi France kwa kuibuka kidedea dhidi ya Timu ya Taifa ya England kwa bao 1-0. Kipindi cha pili Timu hizo zilitoka bila kufungana.Mtanange...
...
Slaven Bilic ameteuliwa kuwa Meneja mpya wa West Ham kwa Mkataba wa Miaka Mitatu. Bilic, Raia wa Croatia mwenye Miaka 46, anachukua nafasi ya Sam Allardyce alieachia ngazi mwishoni mwa Msimu ulioisha Mei baada ya kuifikisha Nafasi ya 12 kwenye Ligi Kuu England. Bilic aliwahi kuichezea West Ham Mechi 54 kati ya Mwaka 1996 na 1997 na kisha kuwa Kocha wa Croatia kwa Miaka 6. Pia Bilic alizifundisha...
 Mtandao wa Shirika la tathmini za thamani za wachezaji CIES kwa upande wa soka limetoa orodha mpya ya thamani za wachezaji katika ligi tano kubwa Ulaya. Katika orodha iliyotolewa inaonyesha mshambuliaji wa Chelsea, Eden Hazard atauzwa kwa bei kubwa zaidi ya mshindi wa Ballon d’Or, Cristiano Ronaldo msimu huu. Mwanasoka huyo wa kimataifa wa Ubelgiji...
Marehemu Juma Ally Salim ‘Mzee Kankaa’ enzi za uhai wake. MSANII mkongwe wa filamu nchini, Juma Ally Salim ‘Mzee Kankaa’ amefariki dunia leo alfajiri akiwa nyumbani kwake Tandale jijini Dar es Salaam baada ya kusumbuliwa na ugonjwa wa kiharusi kwa muda mrefu. Mwili wa Mzee Kankaa amezikwa leo saa 10 jioni katika makaburi ya Ali Maua jijini Dar es Salaam. Marehemu alikuwa anasumbuliwa na...
Liverpool wameafikiana dili ya kunsaini Kijana wa Miaka 22 anaecheza kama Straika wa Burnley iliyoporomoka Daraja kutoka Ligi Kuu England licha ya Klabu hiyo kuigomea ofa ya Liverpool. Danny Ings, anaechezea Timu ya Taifa ya England ya U-21, anamaliza Mkataba wake na Burnley mwishoni mwa Mwezi huu lakini kutokana na umri wake mdogo Kanuni zinaitaka Liverpool kuilipa fidia Burnley....
  ILE Filamu kubwa iliyoshirikisha wasanii mahiri kutoka Tanzania movie Talent Top Ten 2014 (TMT) ipo tayari na inatarajia kuonyeshwa katika jumba la sinema la Mlimani City Cinema Tarehe 12.June. 2015 ni siku ya Ijumaa na itarfuka kwa siku tatu Ijumaa, Jumamosi na Jumapili. Sinema hiyo ambayo imeshirikisha wasanii wakali wenye elimu ya uigizaji...
Rais Jakaya Kikwete akisalimiana na Watanzania waishio Uholanzi waliojitokeza kumlaki wakati akiwasili jijini The Hague, Uholanzi, leo Jumatatu Juni 8, 2015. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo na muhtasari wa ziara yake toka kwa Balozi wa Tanzania nchini Uholani Mhe Wilson Masilingi baada ya kuwasili The Hague leo Jumatatu Juni 8, 2015. Rais Jakaya Mrisho Kikwete...
Manchester United ndio Nambari Wani kwa kuwa ndio bidhaa yenye thamani kubwa zaidi miongoni mwa Klabu za Soka Duniani. Licha ya kutotwaa Taji lolote Msimu uliopita, Man United imeiengua Bayern Munich na kukamata Nafasi ya Kwanza kwa kuwa ndio Bidhaa ya Biashara yenye thamani kubwa ikikadiriwa kuwa ni Dola Bilioni 1.2 na hii ni kwa mujibu wa takwimu za Washauri mahsusi wa Bidhaa na Fedha,...
Hofu imetanda Russia na Qatar huenda zikapokonywa uwenyeji wa kombe la dunia 2018 na 2022 iwapo ushahidi wa ufisadi utapatikana dhidi yao.Afisa wa FIFA Domenico Scala ameiambia jarida moja la Uswisi, Sonntagszeitung, kuwa haki ya kuandaa mashindano hayo ya dunia itakuwa katika hatari kubwa iwapo kutaibuka ushahidi wa kutosha kuwa mataifa hayo mawili yalitoa rushwa.Hata hivyo Scala amekanusha...

waliotembelea blog