
\
Nyakwesy Mujaya akimpa au mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka Uingereza, Ifeanyi Kelechi.
Msama akipeana mkono na Ifeanyi Kelechi. NA LOVENESS BERNARD MWIMBAJI wa kimataifa wa nyimbo za Injili kutoka nchiniUingereza, Ifeanyi Kelechi, ametua nchini kwa ajili ya kutumbuiza katikaTamasha la Pasaka litakalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, siku ya jumapili....