Friday, April 3, 2015

\  Nyakwesy Mujaya akimpa au mwimbaji wa nyimbo za injili kutoka Uingereza, Ifeanyi Kelechi. Msama akipeana mkono na Ifeanyi Kelechi. NA LOVENESS BERNARD MWIMBAJI wa kimataifa wa nyimbo za Injili kutoka nchiniUingereza, Ifeanyi Kelechi, ametua nchini kwa ajili ya kutumbuiza katikaTamasha la Pasaka litakalofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, siku ya jumapili....
Timu ya Taifa ya Tanzania ya Wanawake (Twiga Stars) ijumaa ya tarehe 10, Aprili mwaka huu, itashuka dimbani Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam kuwakarisbisha timu ya Taifa ya Wanawake ya Zambia (The She-Polopolo). Twiga Stars inayonolewa na kocha mkuu Rogasian Kaijage iliingia kambini mwishoni mwa wiki na kikosi cha wachezaji 25 katika hostel za TFF zilizopo Karume, kujiandaa...
Ligi Kuu ya Vodacom inatarajiwa kendelea kutimua vumbi mwishoni mwa wiki katika sita nchini, kwa michezo minne kucheza siku ya jumamosi na michezo mwiwili kuchezwa siku ya jumapili. Jumamosi uwanja wa Kambarage mjini Shinyanga, Kagera Sugar watakuwa wenyeji wa Simba SC kutoka jijini Dar es salaam, huku jijini Tanga Coastal Union wakiwakaribisha maafande wa jeshi la Magereza nchini Tanzania...
Olivier Giroud na Meneja  Arsene Wenger wamepewa Tuzo waote wawili huku Giroud akiwa mchezaji bora wa Premier League na Wenger kuwa Kocha Bora wa Mwezi huo wa Tatu. Straika wa Arsenal Olivier  Giroud amefunga bao tano katika mechi alizocheza mwezi uliopita wa tatu Wenger anapigana kucheza LIGI ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions)  msimu huu au kupanda juu Arsenal wako...
  Raheem Sterling na Daniel Sturridge wakifurahia jambo wakati wa mazoezi kujiandaa na Mtanange wa Ligi Kuu England kati yake na Arsenal.    Kocha wa Liverpool Brendan Rodgers nae amesema mchezaji huyo kubaki Liverpool, Haendi kokote!! Bosi wa Brendan Rodgers amesema Fowadi wa Liverpool Raheem Sterling hataondoka mwishoni mwa Msimu licha ya mazungumzo ya Mkataba mpya...

waliotembelea blog