Wednesday, July 17, 2013

Wakala Pere Guardiola ambaye ni mdogo wa Kocha wa Bayern Munich Pep Guardiola ameziambia klabu za Real Madrid na Arsenal kuwa ofa ya paundi milioni 40 itatosha kumtoa mshambuliaji huyo Liverpool . Pere Guardiola amesema kuwa ana imani kuwa ofa ya paundi milioni 40 haitakutana na pingamizi lolote toka Liverpool na hivyo kufanya kazi ya kumuuza mchezaji huyo (Suarez) kuwa nyepesi . Klabu...

waliotembelea blog