Wednesday, September 2, 2015

Manchester United wametoa Ofa a Pauni 100,000 kumnunua Kinda wa Miaka 17 anaechezea Newport County, Beki Regan Poole, ambae Dili yake huenda ikapanda na kufikia Pauni 400,000.Hivi sasa Kijana huyu yuko huko Man United akipimwa afya yak...
Winga wa zamani wa timu ya taifa ya Uingereza na klabu ya Manchester United David Beckham usiku wa Septemba 1 alipewa Tuzo ya Heshima. Licha ya kuwa amestaafu bado mchango na uwezo wake aliyo uonyesha katika soka bado unatambulika na kuheshimika. Hizi ni picha za tukio lenyewe mtu wangu   Tuzo...
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Arsenal na timu ya taifa ya Ufaransa Thierry Henry, ameongea maneno ya kumtetea kocha wa Arsenal Arsene Wenger baada ya kufungwa kwa dirisha la usajili. Henry ambaye ana heshima kubwa katika klabu hiyo amemkingia...
Klabu ya Manchester United imemsajili mshambuliaji mwenye umri wa miaka 19 kwa dau la pound milioni 36 akitokea klabu ya Monaco ya Ufaransa, Anthony Martial lakini mashabiki wamekuwa wakihoji kiwango hicho cha fedha kwa mchezaji huyo chipukizi, huenda ni kwa sababu hawa mfahamu. Martial...

waliotembelea blog