Wachezaji
wa Simba wakishangilia ushindi wa timu yao baada ya kuifunga Gor Mahia
ya Kenya 3-0 katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika leo
kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Mshambuliaji
wa Simba, Emmanuel Okwi akitafuta mbinu za kumtoka beki wa Gor Mahia ya
Kenya, Kennedy Opiyo katika chezo wa kimataifa wa kirafiki uliofanyika
leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar...
Sunday, September 7, 2014


Pamoja
na idadi ya matukio mengi ya Majambazi Tanzania imekua ni nadra sana
kusikia Majambazi wamevamia kituo cha Polisi na kusababisha mauaji ya
askari pamoja na kuiba silaha.
Kwa mujibu wa Radio One, hii imetokea kwenye mkoa mpya wa Geita
katika kituo cha Polisi Bukombe ambapo Majambazi hawa walivamia na
kuwauwa askari polisi wawili na wengine wawili kujeruhiwa na kisha kuiba
...
Subscribe to:
Posts (Atom)