Tuesday, September 15, 2015

Kocha Mkuu wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema ana imani na kikosi chake kuendelea kufanya vizuri ingawa kuna mambo kadhaa hajaridhika sana. “Katika soka kila unapocheza, linaibuka jambo jipya. Mkirekebisha na kucheza mechi nyingine, linaibuka jambo ambalo linahitaji marekebisho tena. “Huo ndiyo mpira, tulitengeneza nafasi...
NAFTAL (KATIKATI) AKIFANYA YAKE LIGI KUU KENYA Beki wa zamani wa Simba, David Naftal ameendelea kung’ara katika kikosi cha Kenya Revenue Authority (KRA) na sasa amepania kuhakikisha wanamaliza Ligi Kuu Kenya wakiwa katika nafasi tano za juu. Kutoka Kenya, akizungumza na SALEHJEMBE, Naftal amesema amekuwa akipambana na sasa ana uhakika wa namba katika kikosi cha kwanza,...
Wakati Staa wa Barcelona Lionel Messi akijitayarisha kucheza Mechi yake ya 100 kwenye UEFA CHAMPIONS LIGI, UCL, Kocha wake, Luis Enrique, Jumatano anapambana na Klabu yake ya zamani AS Roma katika Mechi yao ya kwanza ya Kundi E. Luis Enrique, Mchezaji wa zamani wa Kimataifa wa Spain, aliwahi kuwa Kocha wa AS Roma katika Msimu wa 2011/12 na kuondoka Klabuni hapo baada ya kushindwa kuiingiza Mashindano...
Meneja wa Chelsea Jose Mourinho akiteta jambo leo wakati akiwa kwenye mahojiano na Wahandishi wa Habari leo.Wakati Chelsea ikikanusha kuwepo na ngumi kati ya John Terry na Diego Costa, zipo habari kuwa Meneja wao Jose Mourinho atacharuka na ‘kuwapiga shoka’ Mastaa Watatu kutoka Kikosi cha Kwanza. Huku wakigubikwa na habari za kuwepo mzozo kati ya Kepteni wao John Terry na Straika wao...
Mapacha wawili kutoka kundi la Psquare wamerudi tena kwenye headlines baada ya kununua nyumba katika moja ya ya majengo huko Atlanta. Katika jengo hilo Peter, Paul pamoja na meneja wao ambaye ni kaka yao Jude Okoye kila mmoja ana sehemu yake ya kukaa. ...
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho ambaye ni mtaalam wa kucheza na saikolojia za makocha na wachezaji wa timu pinzani ili aweze kushinda, kwa sasa yupo katika wakati mgumu na klabu yake ya Chelsea kwani bado haijafanya vizuri...
Mashindano ya maarufu ya urembo duniani, Miss Universe, sasa yatakuwa chini ya kampuni ya kusaka, kuendeleza vipaji na masoko ijulikanayo kwa jina la WME/IMG.  Awali mashindano hayo yalikuwa yakiendeshwa kwa ushirika baina ya kampuni hiyo na kampuni inayojishughulisha na masuala ya habari na burudani ya NBCUniversal na mtangazaji maarufu wa vipindi vya televisheni, mwanasiasa...
Marais wengi wa Afrika wamekuwa wakikaa kwa muda mrefu madarakani hali inayochangia baadhi ya nchi kuingia katika machafuko wa kisiasa. Ukongwe wao kwenye siasa umewafanya wengi wao kujikuta wakikaa miaka mingi zaidi na kuvunja rekodi ya kukaa madarakani kwa muda mrefu. Hapa nimekuwekea list ya Marais wa Afrika wenye umri mkubwa zaidi ya...
. Ni stori ya kisiasa ambayo ilianza kuchukua headlines kwenye mitandao mbalimbali kuhusu wasanii wawili wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel na Vicent Kigosi aka Ray kuondoka UKAWA na kuhamia chama cha Mapinduzi. Baada ya taarifa hizo kuchukua nafasi kubwa kwenye mitandao sasa...
Mchezaji Matata wa Man United Martial Taswira kamili Wachezaji wa Man United wakifanya Mazoezi kabla ya kukutana na  PSV EindhovenMeneja wa Man United Van GaalBastian, Shaw, Carrick, Young, Depay Juan Mata akiteta jambo na RojoDepay na ShawWakipasha wakati wa mazoezi kabla ya kukutana na PSV leo usikuFellaini nae ndaniKipa David De GeaBastian David De Gea aliyeongeza mkataba...
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA: Barclays Premier League PosLogo &TeamPWDLGDPts 1Manchester City220066 2Leicester City220036 3Liverpool220026 4Manchester United220026 5Everton211034 6Swansea City211024 7Crystal Palace210113 8West Ham United210113 9Norwich City210103 10Aston Villa210103 11Arsenal2101-13 12Watford202002 13Stoke City2011-11 14Tottenham Hotspur2011-11 15Newcastle United2011-21 16Chelsea2011-31 17Southampton2011-31 18West...

waliotembelea blog