
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa
Elimu na Ufundi Mhe. Anne Kilango Malecela, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili
la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dr Alex Gehaz Malasusa, Mwenyekiti wa
Harambee hiyo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) Bw.
Nehemia Mchechu na wachangiaji wakubwa katika harambee hiyo
iliyofanyika usiku huu...