MANCHESTER UNITED inafanya mkakati wa kumwezesha Radamel Falcao awe bora zaidi.
Hilo limetamkwa na Meneja wa Manchester United Louis van Gaal hii Leo.
Falcao, Straika wa Colombia mwenye Miaka 29, amefunga Bao 4 katika Mechi 20 tangu atue Man United mwanzoni mwa Msimu kwa Mkopo kutoka AS Monaco.
Baada ya kupigwa Benchi Jumatatu iliyopita kwenye Mechi ya FA CUP na Arsenal, Falcao alichezeshwa kwenye Kikosi cha Vijana U-21 dhidi ya Tottenham Siku ya Pili yake.
0 maoni:
Post a Comment