Rais wa ligi kuu ya soka nchini
Hispania maarufu kama La Liga amesema kuwa Cristiano Ronaldo naweza
akapata adhabu ya ukosefu wa nidhamu kutokana na aina ya ushangiliaji
aliouonesha katika mechi ya El Classico dhidi ya Fc. Barcelona na hii ni
mara baada ya kusawazisha goli katika mchezo uliochezwa siku ya
Jumapili Nou Camp.
Ronaldo alionekana akitoa
ishara ya kuwataka mashabiki wa Fc. Barcelona...
Wednesday, March 25, 2015


Na Amplifaya Amplifaya
Unapata maana ya kwamba Pele anatambua kile au ni kipi unataka kumuuliza hata kabla haujaanza kubuni maneno.
Labda ni kitu asili
chenye muingiliano na uelewa sawa wenye athari kwa tabia za binadamu na
jinsi gani anaweza kutumia hiyo fursa kwa faida yake ambayo imemfanya
kuweza mchezaji mkubwa na mwenye historia kubwa duniani pia mwenye
rekodi ya kuwa mfungaji mwenye...


Na Augustino Mabalwe,Dar es salaam
Baada ya kukaa nje kwa muda mrefu
akiuguza majeraha, hatimaye kiungo mshambuliaji wa klabu ya Real Madrid
James Rodriguez arejea mazoezini kufuatia matibabu mazuri aliyopatiwa
na madaktari wa timu hiyo.
Rodriguez,23, alivunjika mfupa wa ndani katika mguu wake wa kulia mapema mwezi Februari katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sevilla.
Mchezaji huyo aliyesajiliwa...


Baada
ya kumalizika kwa michuano ya ligi ya mkoa wa Dar es salaam na timu za
FFU na Zakhem kumaliza katika nafasi ya kwanza kwenye makundi yao,kesho
20/03/2015 utapigwa mchezo mmoja wa kusaka nafasi ya kuungana na
mabingwa hao kushiriki michuano ya ligi ya mikoa.
Mchezo huo wa mtoano
utakaopigwa katika uwanja wa Mizinga Kigamboni,utazikutanisha timu za
Pan Africa dhidi ya Changanyikeni ambazo...


Baraza
la Sanaa Tanzania (BASATA) kwa kushirikiana na Kilimanjaro Premium
Lager wamezindua rasmi msimu mwingine wa tuzo za muziki Tanzania
unaojulikana kama Kilimanjaro Tanzania Music Awards (KTMA).
Meneja wa bia ya Kilimanjaro Pamela Kikuli amesema; “Kilimanjaro
Premium Lager ni bia ya watanzania na imejikita katika kuwaletea
burudani na pia kutoa majukwaa ambayo yanawapa Watanzania...


.jpg)
Mkurugenzi
wa Ukuzaji Sanaa na Masoko wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Nsao
Shalua (kushoto), akikabidhi bendera ya taifa kwa mshindi wa Airtel
Trace Music Stars, Mayunga Nalimi kwa ajili ya kwenda kuiwakilisha nchi
katika fainali za Afrika za Airtel Trace Music Stars zitakazofanyika
Jumamosi Machi 28, nchini Kenya na kushirikisha nchi 13, katika hafla ya
makabidhiano iliyofanyika...


Shirikisho
la kanda kanda Nchini England FA sasa linakusudia kuandaa sheria
itakayo kupunguza idadi ya wachezaji kutoka nje ya nchi za Umoja wa
Ulaya watakaosajiliwa katika ligi za nchi hiyo.Mwenyekiti wa
shirikisho hilo Greg Dyke asema kwamba ligi kuu ya England ipo kwenye
hatari ya kutowasaidia wachezaji raia wa Uingereza kama hatua
hazitachukuliwa.Katika mpango pia itaweka sheria ngumu...


Timu ya Kiluvya United ya mkoa wa Pwani
jana imetawazwa Mabingwa wapya wa Ligi Daraja la Pili (SDL) baada ya
kuifunga Mbao FC ya Mwanza kwa mabao 4-2 katika mchezo wa fainali
uliofanyika kwenye Uwanja wa kumbukumbu ya Karume jijini Dar es salaam.
Kiluvya United inaunganana timu za Mji Mkuu (CDA) ya Dodoma, Mbao FC
ya Mwanza na Mji Njombe ya Njombe kupanda Ligi Daraja la Kwanza
(FDL)msimu...
Subscribe to:
Posts (Atom)