Saturday, October 5, 2013

...
Marehemu Steven Kanumba. Mama wa staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila kwa mara ya kwanza amemfungukia marehemu Steven Kanumba aliyefariki dunia Aprili 7, 2012. Katika mahojiano rasmi na Risasi Jumamosi, juzi jijini Dar, Mama Lulu aliweka wazi kila kitu kuhusu madai mbalimbali ya yeye na mama Kanumba, Lulu na marehemu Kanumba. Mambo yaliyoelekezwa ayajibu...
Kwa mujibu wa ripoti ya Benki kuu ya Tanzania(BOT),Dsm ndio mkoa unaoongoza kwa kuchangia pato la taifa.  1. Dar-es-salaam(GDP-7.5 trilion) 2. Mwanza(GDP-4.09 trilion) 3. Mbeya(GDP-3.2 trilion) 4. Shinyanga 5. Iringa 6. Morogoro 7. Arusha(GDP-2.1 triliom) 8. Tanga(GDP-2.09 trillion) 9. Kilimanjaro(GDP-2.03 trillion) Cha kushangaza ni kuwa mkoa wa Mtwara ambao umezungukwa na gesi...
  MAVAZI YA UFUKWENI    MEZA YA MAJAJI IKIWA MAKINI KUHAKIKISHA MSHINDI ANAPATIKANA.   SHOW YA UFUNGUZI   WEWEEEEEE CHEZEA KIUNO   KIUBUNIFU ZAIDI   CHEZEA VAZI LA UBUNIFU WEWE USIKU ILIKUWA SAFI SANAAAAAAAA   KIUBUNIFU ZAIDI   VAZI LA UBUNIFU   MAVAZI YA UBUNIFU YAKIENDELEA   MSHIRIKI KATIKA VAZI LA UBUNIFU   PALIKUWA...

waliotembelea blog