
Serikali imefuta hatimiliki ya
viwanja 15 vilivyokuwa vinavyomilikiwa na Raia wa Uingereza,
mfanyabiashara maarufu jijini Mwanza, Hermant Patel, Mwenye Uraia wa
Tanzania na Kenya kitendo ambacho ni kinyume cha taratibu na sheria za
nchi zinazozuia raia wa kigeni kumiliki ardhi.
Waziri...