Sunday, September 6, 2015

Caner Erkin wa Uturuki (kushoto) akipambana na Luciano Narsingh wa Uholanzi usiku huu katika mchezo wa Kundi A kufuzu Euro 2016. Uturuki imeshinda 3-0 mabao ya Oguzhan Ozyakup dakika ya nane, Arda Turan dakika ya 26 na Burak Yilmaz dakika kabla ya filimbi ya mwisho. Uholanzi imeporomoka hadi nafasi ya nne na sasa inaweza kufuzu Euro kupitia mchezo maalum wa mchujo. +11 Holland...
Baadhi ya wachezaji wa Taifa Stars kutoka kulia Farid Mussa, Mrisho Ngassa, Mwinyi Hajji Mngwali, Thomas Ulimwengu na Mbwana Samatta MATOKEO NA RATIBA YA MECHI ZA KUNDI G Jumamosi Juni 13, 2015 Nigeria 2-0 Chad Misri 3-0 Tanzania Jumamosi Sept 5, 2015 Tanzania 0-0 Nigeria Jumapili Sept 6, 2015 Chad v Misri Ijumaa Machi 25, 2016 Chad v Tanzania Nigeria v Misri Jumatatu...
Mshambuliaji wa zamani wa klabu ya Chelsea na timu ya taifa ya Ivory Coast Didier Drogba, ambaye kwa sasa anaichezea klabu ya Montreal Impact inyoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), ameanza vizuri katika mechi yake ya kwanza toka ajiunge na Ligi hiyo. Drogba aliyejiunga na timu hiyo kama mchezaji huru baada...
Hadi July 2014 mtandao wa artbecomesyou.com ulikuwa unawataja mastaa kadhaa wa soka kuwa ndio wakali wa style za mavazi. Licha ya watu wengi kuwa wanaamini kuwa ukiwa na fedha, utakuwa unavaa sana pamba na mkali wa mitindo, ndio ni kweli ili upendeze lazima uingie gharama, unaweza vaa vitu vya gharama lakini usipendeze kutokana na mpangilio wako, ila mastaa hawa ndio wanaotajwa kuwa...

waliotembelea blog