Thursday, February 6, 2014

MENEJA wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger ameondoa uwezekano wa kumsajili Luis Suarez kutoka Liverpool katika majira ya kiangazi baadae mwaka huu. Arsenal walijaribu kumsajili nyota huyo wa kimataifa wa Uruguay wakati wa usajili msimu uliopita huku Suarez mwenyewe akitaka kuondoka Anfield. Lakini Wenger amekanusha tetesi mpya zilizozuka kuwa bado wanahitaji huduma ya nyota huyo ambaye...
Afisa Mahusiano wa Airtel Tanzania, Jane Matinde (wa pili kushoto) akiongelea umuhimu wa promosheni ya Mimi ni Bingwa muda mfupi baada ya kukabidhi shilingi milioni moja kwa baadhi ya washindi wa promosheni hiyo (waliopo pichani). Kushoto ni Bw. Ramdhani Wefa, Kulia ni Philemon Nathaniel Mgaya akifuatiwa na Bw. Msemwa Makuzi ambaye pia ni mshindi wa tiketi na wote wakiwa wanatokea...
Washiriki wa michezo ya Sochi Serikali ya Marekani imeonya mashirika ya ndege yanayofanya safari za kwenda Urussi kwamba magaidi huenda wakajaribu kuingiza kimagendo vilipuzi vilivyofichwa ndani ya neli...
Luiz Suarez Miaka imebadilika na kuwa miezi na sasa ni miezi nne pekee , kabla ya mashindano ya kombe la dunia huko Brazil kuanza. Makocha wanaendelea na maandalizi kuhakikisha timu zao zimekamilika idara zote ima ni safu ya ushambulizi ,ya kati na safu ya ulinzi kabla ya kipenga cha kuanza kwa kombe la dunia . ...
Biashara haramu ya pembe za Ndovu hufaidi zaidi Bara Asia Tani tatu ya pembe za Ndovu zitateketezwa hii leo Nchini Ufansa ili kuonyesha kujitolea kwa serikali ya taifa hilo katika vita dhidi ya...
Bunge la Tanzania Serikali ya Tanzania imekanusha taarifa za vyombo vya habari zilizodai kuwa wabunge wa nchi hiyo watalipwa kiasi cha zaidi ya dola laki moja za kimarekani watakapomaliza muda wao wa kipindi cha miaka mitano yakiwa malipo...
Mbwa aliyekamatwa laikuwa anatumiwa 'na kikosi maalum cha jeshi la Marekani nchini Afghanistan Kundi la wapiganaji wa Taleban limesema kuwa limemkamata Mbwa kutoka kwa wanajeshi wa Marekani Mashariki mwa Afghanistan. Picha waliyoiweka kwenye...
ami. short stint at PSG before quitting the game last summer.David Beckham announced he's the owner of Miami's new MLS franchiseBeckham was handed a black and blue scarf at the end of the press conference Beckham was joined by MLS commissioner Don Garber (left) and mayor Carlos Gimenez Beckham arriving to unveil his new Major League Soccer franchise in MiamiThe former England...
Edison Cavani Kocha wa Uruguay Oscar Tabarez, amesema kuwa washambulizi wa timu hiyo Luis Suarez na Edinson Cavani wapo katika umri bora wa kushamiri katika kinyanganyiro cha Kombe la dunia huko Brazil. Tabarez anamatumaini kuwa kuwa washambulizi wake wanaujuzi na uwezo wa kutwaa kombe hilo baada ya kufuzu kwenye hatua ya nusu fainali katika kombe la duna la 2010. Uruguay ambayo imewahi...

waliotembelea blog