
MENEJA
wa klabu ya Arsenal, Arsene Wenger ameondoa uwezekano wa kumsajili Luis
Suarez kutoka Liverpool katika majira ya kiangazi baadae mwaka huu.
Arsenal walijaribu kumsajili nyota huyo wa kimataifa wa Uruguay wakati
wa usajili msimu uliopita huku Suarez mwenyewe akitaka kuondoka Anfield.
Lakini Wenger amekanusha tetesi mpya zilizozuka kuwa bado wanahitaji
huduma ya nyota huyo ambaye...