Thursday, February 13, 2014

Uwanja wa Etihad Mradi wa kuongezeka idadi ya mashabiki katika uwanja wa Manchester City kutoka mashabiki elfu arubaini na nane hadi elfu sitini na mbili umeidhinishwa. Klabu hiyo inayoshiriki ligi kuu ya Premier nchini England, itajenga maeneo zaidi...
Ndege za umoja zizizokuwa na Rubani Goma Ujumbe wa Umoja wa Mataifa mashariki mwa Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Congo, umesema kuwa zaidi ya watu sabaini waliuawa mwisho wa mwezi uliopita na mapema mwezi huu. Katika mahojiano...
Dhoruba kali ya majira ya baridi kali imesababisha zaidi ya watu 300,000 eneo la kusini mashariki mwa Marekani kukosa umeme wakati dhoruba hiyo ikielekea eneo la kati ya Atlantic na sehemu za kaskazini mashariki mwa taifa hili. Dhoruba imesababisha kunyesha kwa darzeni ya sentimeta za theluji kote katika eneo la Washington DC hapo Alhamis. Wakati katika baadhi...
Kocha Mkuu wa Twiga Stars, Rogasian Kaijage amesema kikosi chake kiko tayari kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Afrika kwa Wanawake (AWC) dhidi ya Zambia itakayochezwa keshokutwa (Ijumaa) jijini Lusaka. Akizungumza kwenye hafla ya kuiaga timu hiyo iliyofanyika leo (Februari 12 mwaka huu) kwenye ofisi za TFF jijini Dar es Salaam, Kocha Kaijage amesema wachezaji wake wako...
  Mgeni Rasmi katika Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa,Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal akitoa hotuba yake wakati wa Ufunguzi wa Kongamano hilo,uliofanyika mapema leo kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Malaika,Jijini Mwanza.  Mwenyekiti wa Kongamano la Uwekezaji Kanda ya Ziwa,Mh. George Kahama akitoa hotuba ...
      Fainali ya kombe la ligi nchini Hispania (Copa del Rey) inatafanyika tarehe 19 April 2014 na safari hii itawakutanisha vigogo wa La Liga Real Madrid na Barcelona. Mechi hii inatarajiwa kuwa ni ngumu na kuvutia kwani Madrid na Barca ni wapinzani wa jadi nchini Hispania na ikizingatiwa pia makocha wa timu hizi wote ni wageni na wanahitaji kutwaa vikombe wakiwa...
KESHO KUFANYA YAKE NDANI YA KAHAMA NEY WA MITEGO...
Mkurugenzi wa Global Publishers & General Enterprises Ltd, Marsha Bukumbi akimkabidhi mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 mshindi wa shindano la Championi Mahela, Kizito George Chuma (kushoto). Kizito George Chuma akiwa ameshika mfano wa hundi yake ya milioni 10.   Kizito George Chuma akiongea na wanahabari (hawapo pichani) baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi...
Emmanue Okwi Mshambuliaji wa kimataifa wa timu ya Uganda na timu ya Young Africans leo ameruhiswa ramsi kuanza kuitumikia timu yake katika michezo ya Ligi Kuu na Mashindano ya klabu Bingwa Barani Afrika kufuatia shirikisho la soka nchini TFF kuiandikia barua klabu ya Young Africans. Okwi ambaye alisajiliw aa Young Africans mwishoni mwa mwaka jana na kucheza michezo ya kirafiki ya kujiandaa...
...

waliotembelea blog