Friday, August 8, 2014

KIKOSI cha pili cha mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc kitakabiliana na Mtibwa Sugar katika mchezo wa kirafiki utakaopigwa leo katika Tamasha la Usiku wa Matumaini , uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam. Hii itakuwa mechi nzuri kwa timu zote kuangalia uwezo wa wachezaji...
Manchester City wanamtaka Sergio Aguero asaini mkataba mpya kabla ya kuanza msimu mpya. MANCHESTER City wanatumaini kuwa Sergio Aguero atasaini mkataba mpya utakaomfanya alipwe paundi laki mbili na elfu 10 kwa wiki kabla ya kuanza kwa msimu mpya. Mabingwa hao wa England wameweka...
Mwimbaji wa Injili, Upendo Nkone akiwapa matumaini wananchi waliohudhuria Usiku wa Matumaini muda huu ndani ya Uwanja wa Taifa jijini Dar.   Upendo Nkone akiwapa burudani wapenzi wa Gospel ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.   Umati wa watu ndani ya Tamasha la Matumaini 2014.   Nkone akizidi kufanya yake pamoja na vijana wake.   Baadhi ya wanahabari na wadau wakifuatilia...
  Na Baraka Mbolembole, Dar es Salaam, Hussein Shariff, Manyika Peter Manyika, Mohammed Hussein, Abdi Banda, Elius Maguli, Saad Kipanga watatambulishwa kesho katika Tamasha la ‘ Simba Day’ katika uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Tamasha hilo la kila mwaka ambalo hufanyika tarehe 8, Agosti ya kila mwaka lilianza kufanyika kwa mara kwanza msimu wa kiangazi mwaka 2009 chini ya waasisi,...
Wasiwasi: Bosi wa Arsenal, Arsene Wenger alikiri kuwa kuna timu hatari katika droo ya UEFA iliyofanyika leo ijumaa. ASERNAL watakabiliana na Besiktas  katika mchezo wa raundi ya pili ya mtoano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya (UEFA). Arsene Wenger alikwepa kukutana na Athletic Bilbao, Lille , FC Copenhagen, Standard Liege, lakini sasa atachuana na timu hiyo...
Wamekubaliana: Barcelona wameonekana kuwapiku  Manchester United katika kumsajili, Thomas Vermaelen. BARCELONA imekubali kulipa ada ya uhamisho ya paundi milioni 15 ili kuinasa saini ya beki wa Asernal, Thomas Vermaelen, na taarifa hizi ni pigo kubwa kwa mashetani wekundu, Manchester United waliotaka kumsajili. Kilichobaki sasa ni makubaliani binafsi kati ya wakala...
...
  Divas wa Skylight Band Aneth Kushaba (wa kwanza kushoto) na Digna Mbepera(wa pili toka kushoto) wakilianzisha Burudani kwa nguvu zoteee ndani ya Thai Village masaki.Kila ijumaa Bendi yako mahiri na isiyoshikika Skylight Banda wanakuwa Thai Village wakikupa burudani ya nguvuuuu na suprizeee kibaooooo,Usikose Ijumaa Hii. Divas wa Skylight Band Aneth Kushaba (wa kwanza kushoto) na...
+10 +10 Bingwa: James Wilson akiwa amebeba kombe la 'Manchester Senior Cup' baada ya kuingoza United kushinda mabao 4-1 dhidi ya Cit. KINDA wa Manchester United,James Wilson amemkumbusha Louis van Gaal umuhimu wake kwa kufunga mabao yote manne katika ushindi wa 4-1 dhidi ya mahasimu wao wakubwa Manchester City. Timu hizo mbili hasimu zilikutana jana usiku...
 Na Baraka Mpenja MICHUANO ya Kombe la Kagame inaanza kutimua vumbi leo hii Agost 8 hadi 24 mwaka huu mjini Kigali nchini Rwanda,  ambapo timu 14 zitawania taji linaloshikiliwa na mabingwa watetezi, Vital’O ya Burundi. Wawakilishi wawili wa Tanzania katika michuano hiyo, KMKM ya visiwani Zanzibar na mabingwa Tanzania wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc watashuka dimbani...
  BAADA ya kutolewa kushiriki michuano ya klabu bingwa Afrika mashariki na kati maarufu kwa jina la kombe la Kagame, Yanga sc imesema maisha mengine yanatakiwa kuendelea kama kawaida. Katibu mkuu wa Yanga, Beno Njovu alisema wamesikitishwa kutolewa Kombe la Kagame, lakini hali hiyo haiwafanyi washindwe kuendelea na mipango mingine ya kuiandaa timu kwa ajili ya michuano...
Mtaalamu: Ryan Giggs alifunga bao pekee la kufutia machozi katika kichapo cha mabao 5-1. Kiungo mwalimu: Paul Scholes akimiliki mpira kuonesha kuwa ujuzi hauzeeki. Winga mchawi: Kocha mpya msaidizi wa Manchester United, Ryan Giggs akimpiga chenga mpinzani wake wa  Salford City Majukumu ya ukocha: Nyota wa zamani wa Manchester United, Rio Ferdinand MAGWIJI wa...

waliotembelea blog