Tuesday, November 12, 2013

  Paul Matthysse ‘P-Funk’ akionesha jeraha alilolipata kichwani baada ya kuanguka chooni. P alidamka alfajiri kwenda msalani kujisevu mambo ya short-call, akiwa huko alishikwa na kizunguzungu cha ghafla kisha akaanguka kama mzigo. Ajali hiyo, ilimkuta P alfajiri ya Ijumaa iliyopita na kuhusu hilo, mwenyewe alifunguka: “Nilishangaa sana, unajua siku hiyo sikuwa nimekunywa pombe kusema...
Wakazi wa mtaa wa migombani kata ya segerea wakiwahoji matapeli ambao walikua wakijaribu kumfanyia utapeli dada mmoja na hatimaye kushindwa kutimiza lengo lao mara baada ya dada huyo kushtukia mbinu zao na kuomba msaada kwa wananchi na ndipo hapo walipotiwa nguvuni na kupelekwa katika ofisi za serikali ya mtaa wa migombani Matapeli (mwenye shati la draft) wakipewa kichapo mara baada ya kushindwa...
Weekend iliyopita msanii wa muda mrefu wa muziki wa Dancehall Hard Mad ametoa wimbo mpya ambao ni jibu la hit song ya Lady JayDee ‘Yahaya’. Swali la Jide “Yahaya unaishi wapi” ndio limezaa jina la wimbo wa Hard Mad aliyejibu ‘Naishi Ghetto’, na mambo mengine yote yaliyoimbwa katika wimbo huo ni majibu ya maswali ya ‘Yahaya’. Hard Mad Hard Mad amezungumzia jinsi wazo la kufanya wimbo wenye...
MSIMAMO ULIVYO KWA SASA: 2013-2014 Barclays Premier League Table   Overall Home Away   POSTEAMPWDLFAWDLFAWDLFAGDPts 1 Arsenal 11 8 1 2 22 10 4 0 1 11 5 4 1 1 11 5 12 25 2 Liverpool ...
Stori: Musa Mateja     RAIS wa Wasafi Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’, juzikati alifunguka kuwa kwenye maisha yake ya ndoa atakayoingia siku chache zijazo, aliyekuwa mchumba wake wakamwagana na kurejeana hivi karibuni, Wema Sepetu asitegemee kuolewa naye. Diamond ambaye ni staa wa Bongo Fleva aliyasema hayo mbele ya paparazi wetu Novemba 7, mwaka huu jijini Dar kufuatia kuulizwa anamchagua...
Mwanamuziki nyota wa muziki wa kizazi kipya usiku wa kuamkia Jumatatu alionja joto ya kiwe baada ya kutekwa na kusurubiwa kisha kunyang'anywa kila kitu pamoja na gari yake. Mwanamuziki huyo akiwa kwenye viunga vya Club ya usiku ya Kibo iliyopo Tegeta Jijini Dar pamoja masisita du wakila bata ghafra kundi la watu watano lilimvamia na kumkamta msobe msobe hadi nje ya ukumbi pamoja na kumrukisha...
Kijana anayefanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva Diamond Platnumz mambo si mabaya kwake baada ya kuonyesha mjengo wake mwingine wa hatari ambao bado upo katika ujenzi.    Kupitia mtandao wa kijamii wa Instagram,Diamond jana ame-share picha ya nyumba hiyo na chini akatia neno..Shuka nayo. ''Toa kitu weka kitu...! Ndio tulivyo funzwa...stareh tunawaachia wajanja wa mji......
MSANII wa filamu wa kike Bongo Irene Uwoya yupo katika maandalizi ya kuanza mazoezi ya ngumi baada ya kumpata mwalimu ambaye ni Bondia maarufu Rashid Matumla ‘Snake Boy’ akiongea na FC Irene kasema kuwa ameamua kufanya mazoezi kwa ajili ya kujiweka vema na kulinda nafasi yake ya uigizaji kwani amegundua wasanii wengi wanapoteza mvuto kwa kujiachia kwa unene. Irene Uwoya akiwa na timu...
MSAADA Nakukubali sana, napenda unipe nafasi niwe chini ya lebo yako. Geofrey, Kibaha, 0713434329 BOB JUNIOR: Njoo studio kwangu (Sharobaro) nikusikilize kama unafaa basi nitakuchukua tufanye kazi pamoja. ANATOKA NA AUNT LULU? Bob Junior nataka kujua, eti wewe unatoka kimapenzi na Aunt Lulu (Lulu Mathias), mlimbwende wa Kimwana Manywele? Salim Liundi, Dar, 0658110395 BOB JUNIOR: Hapana. KWA...

waliotembelea blog