Mshambuliaji
mpya Yanga, Geilson Santana Santos ‘Jaja’ awasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere leo tayari kuitumikia klabu yake akitokea
nchini kwao Brazi Mshambuliaji
mpya Yanga, Geilson Santana Santos ‘Jaja’ awasili Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Julius Nyerere leo tayari kuitumikia klabu yake akitokea
nchini kwao Brazi ...
Tuesday, July 15, 2014


BAADA
kukirejesha Kikosi cha Netherlands kwao baada Fainali za Kombe la Dunia
toka huko Brazil, Kocha mpya Louis van Gaal Leo hii anatarajiwa kutua
Klabu yake Mpya Manchester United Jijini Manchester huku ikiwepo shauku
kubwa ya kuleta Wachezaji wapya. Anga za Uhamisho huko Ulaya sasa
zimejaa mategemeo makubwa kuwa kuanza kazi rasmi kwa Van Gaal huko Old
Trafford kutashuhudia Mabingwa...


Semina na mtihani wa utimamu wa mwili (physical
fitness test) kwa waamuzi wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA)
na baadhi ya wale wa daraja la kwanza wenye kiwango cha juu (elite) itafanyika
jijini Dar es Salaam.
Waamuzi 30 kutoka Tanzania Bara na Zanzibar
watashiriki kwenye semina hiyo itakayofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam
kuanzia Julai 21 hadi 26 mwaka huu.
Mkufunzi...


Mkurugenzi
wa Global Publishers, Eric Shigongo (katikati), ambaye kampuni yake
inaandaa tamasha hilo, akizungumza kwenye mkutano huo.Mkutano ukiendelea...Sehemu ya mapaparazi waliofika kwenye tukio hilo.Rais
wa Chama cha Ngumi za Kulipwa nchini (T.P.B.O) Yasin Abdallah
(katikati) ambao ndiyo wasimamizi wa pambano la Maugo na Mashali katika
tamasha hilo, akizungumzia pambano hilo.Meneja
...


Kocha wa Brazil Luiz Felipe Scolari
amelaumiwa kwa kichapo ilichopata Brazil Ripoti nchini Brazil zinasema
kuwa kocha wa timu ya taifa ya Brazil,Luiz Felipe Scolari, ameacha kazi
kama meneja wa timu hiyo. Scolari alilaumiwa pakubwa sana kwa timu ya
Brazil kupata kichapo kibaya ilipocheza na Ujerumani ambao wameibuka
mabingwa wa kombe la dunia mwaka huu. Kichapo hicho kilikuja wakati...


Manchester
United leo hii imetangaza kufikia makubaliano na Kampuni ya Adidas ya
Miaka 10 ya Jezi na Vifaa vya Michezo ambapo watalipwa Pauni Milioni 750
na hii ndio Dili kubwa Duniani kwa Mikataba ya aina hiyo.Mkataba wa
pande hizo mbili utaanza Msimu wa Mwaka 2015/16 na kila Mwaka Man
United italipwa Pauni Milioni 70 ikiipita Real Madrid ambayo ilikuwa
ikizoa Pauni Milioni 31 kwa Mwaka...


Washambuliaji
Thomas Ulimwengu na Mbwana Samata wa klabu ya TP Mazembe ya Jamhuri ya
Kidemokrasi ya Congo (DRC) wanawasili nchini keshokutwa alfajiri (Julai
16 mwaka huu) kwa ajili ya mechi dhidi ya Msumbiji (Mambas).Mechi
hiyo ya kwanza ya raundi ya pili ya michuano ya Afrika (AFCON) kati ya
Tanzania (Taifa Stars) na Mambas itachezwa Jumapili (Julai 20 mwaka huu)
kwenye Uwanja wa Taifa,...
Subscribe to:
Posts (Atom)