Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Bw. Ludovick Utouh
Natoa
taadhari kwamabtulikuwa na adidi za rejea amabazo ndizo
tulizofuata,tulipokea mombi ya wananchi wengi lakinio hayakuwepo katika
adidu za rejea,hatukuyafanyia kaziKilichobainikaTunapohitaji maendeleo,tunafanya vitu kwa nia njema bila kufuata taratibuKuhusu uwekezaji wenye mashaka kwenye kituo cha kuosha magari,zabuni haikuwa shindanishini...
Friday, January 17, 2014


Mkuu
wa mkoa wa Kagera Mh.Fabian Massawe akimkaribisha mgeni Rasmi leo
kwenye kikao hicho cha kukamilisha Ukaguzi Maalum" Exit Meeting" Cha
mdhibiti na mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali leo Januari 17.2014 Mjini
Bukoba ambapo kikao hicho kilianza mapema saa 5 Asubuhi.
Viongozi kufungua kikao
Katibu Tawala wa Mkoa Kagera Bw. Nassor Mnambila.
hapo ndo ukimbini
Meya
...


Dar es Salaam. Mahakama
ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru Mkurugenzi wa zamani wa Utawala
na Utumishi (DPA), Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba kutokana
na upelelezi uliofanywa kuwa mbovu na wakili aliyekuwa akiiendesha kesi
hiyo kuwa mzembe.
Liyumba alikuwa akikabiliwa na kesi ya kukutwa na simu akiwa gerezani
Ukonga, Dar es Salaam, wakati akitumikia kifungo...


Lionel
Messi, ameifungia Timu yake Barcelona Bao 2 na kuihakikishia kucheza
Robo Fainali ya Kombe la Mfalme wa Spain, Copa del Rey, baada baada
kuibwaga Getafe Bao 2-0 na kuitupa nje. Dani Alves kulia akichuana vikali na mchezaji wa Getafe midfielder Angel Lafita
Neymar aliumia
COPA del REY
RATIBA
Robo Fainali
Mechi ya Kwanza Jan 21-23, Marudiano Jan 28-30
A...
Subscribe to:
Posts (Atom)