UKISTAAJABU YA MUSA, UTAONA YA .....:: KIJANA WA MIAKA 23 AMUOA KIBIBI KIZEE CHA KIJERUMANI CHENYE MIAKA 83
How can a 23 Year old boy marry a mama old enough to be his grandma?They look so happy together. Big congrats to them.
&nbs...
CHECK HAPA TID ALIVYOJIACHIA UK, WAZUNGU WAMSHANGAA WAMGEUZA KIVUTIO
T.I.D msanii wa
long time kwenye game ya bongoflava tangu enzi za Zeze,Siamini hadi leo
hii na Kiuno na bado anafanya vizuri. Wiki kadhaa zilizopita baada ya
kumaliza msiba wa mshikaji wake Mangwea, T.I.D alisafiri kwenda England
kufanya show ambako huko pia ndiyo alifanya interview inayozungumziwa
sana...
China imekubali kutoa mkopo wa dola bilioni 1.1 kwa
Nigeria ili kufadhili ukarabati wa miundo msingi.Mkataba huu umeafaikiwa
wakati wa ziara ya Rais Goodluck Jonathan mjini Beijing,ambapo
alikutana na mwenyeji wake Xi Jinping.
Fedha hizi zitasaidia ujenzi wa barabara,
viwanja vya ndege na kujenga miji minne na njia mpya ya reli.China
inawekeza kwa kiwango kikubwa Barani Afrika ambapo pia...
Marekani inaendelea na mpango wake wa kutoa ndege za
kivita kwa jeshi la Misri licha ya msukosuko wa kisiasa unaokumba nchi
hiyo. Hatua hii inajiri wakati Marekani ikiendelea kutathmini matukio ya
wiki jana ambapo jeshi lilimuondoa madarakani Rais Mohammed Morsi.
Msaada wa kijeshi kwa Misri ungesitishwa endapo
Marekani ingelitaja matukio ya wiki jana kama mapinduzi ya kijeshi.
Kundi la Muslim...
HII NDIO KAULI YA JOKETI BAADA YA DIAMOND KUJUTIA KUMUACHA
Hivi karibuni, katika kipindi cha “Take One” cha Clouds TV na Zamaradi
Mketema, msanii Diamond Platnumz aliongelea jinsi anavyojutia kumuingiza
mrembo Jokate Mwegelo kwenye mapenzi halafu, halafu akachanganya mambo
na Wema Sepetu.
kama uliikosa interview hiyo, click link ifuatayo
kuiangalia video: VIDEO: Diamond...