Monday, July 27, 2015

 Katibu wa Mipango na Mikakati wa Chama cha ACT-Wazalendo, Habibu Mchange (kushoto), akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Iringa mjini, Chiku Abwao baada ya kuhamia rasmi ACT-Wazalendo Dar es Salaam leo mchana.  Mbunge Chiku Abwao (kulia), akionesha kadi ya chama cha ACT-Wazalendo baada ya...
  LowassaNi wiki ya mtikisiko. Hivi ndiyo unavyoweza kuelezea hali itakavyokuwa nchini kutokana na matukio makubwa ya kisiasa yanayotazamiwa kutokea ndani ya wiki inayoanza leo ambayo yanaweza kubadili mwelekeo wa siasa za Tanzania.Hali hiyo inatokana na vuguvugu la kisiasa linalohusisha viongozi wenye ushawishi kuhama vyama vyao vya siasa na kutimkia kwenye vyama vingine, ikiwa ni siku...
...
Mwanariadha wa Polisi Tanzania Fabian Nelson (wa pili) akipambana na wanariadha wengine katika mbio za kilomita 10000 katika uwanja wa Mavuso nchini Swaziland wakati wa Michezo ya majeshi ya polisi kwa nchi za kusini mwa Afrika(SARPCCO) yanayoendelea nchini Swaziland.Fabian Nelson alishinda medali ya Fedha baada ya kushika nafasi ya pili katika mbio hizo. (Picha na Frank Geofray-Jeshi...
Baraka Kizuguto msemaji wa TFF Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na kati maarufu kama CECAFA limetangaza mabadiliko ya muda wa kuanza kwa mechi za robo fainali ya michuano hiyo.. CECAFA imetangaza mabadiliko hayo kupitia kwa msemaji wa Shirikisho la mpira wa miguu Tanzania (TFF) Baraka Kizuguto. Mabadiliko yaliotangazwa hapo ni ya mechi za robo fainali, mchezo wa kwanza utapigwa saa 7:45...
Mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast Didier Drogba ambaye pia amewahi kuitumikia klabu ya Chelsea ya Uingereza kwa miaka kadhaa sasa ameamua kuendeleza maisha yake ya soka Canada na ataanza kuonekana katika Ligi Kuu ya Marekani MLS. Taarifa zimethibitisha kuwa Drogba amekubaliana na klabu Montreal Impact  na atajiunga na timu hiyo kwa mkataba wa miezi...
Wojciech Szczesny akiwa na Scarf ya Klabu ya As Roma baada ya kutua kwenye Uwanja wa Ndege wa Leonardo da Vinci International...
Internazionale hawakupata kitu katika mtanange huu hii leo, Wakinyukwa bao 3-0 na Real. BAO za Real Madrid zilifungwa na Jese dakika ya 29 kipindi cha kwanza na bao mbili kipindi cha pili zilizofungwa na Raphaël Varane dakika ya 56 na lile la James Rodríguez dakika ya 88' Cristiano Ronaldo kwenye Patashika Dakika ya 46 Real Madrid waliwapumzisha, Cristiano Ronaldo, Keylor Navas, Gareth...
Kocha wa klabu ya Chelsea Jose Mourinho anajulikana kwa majigambo, kujisifia lakini pia anapenda kitu kizuri kiwe kwake. Kama utakua unakumbuka vizuri Mourinho ni kocha anayependa mfumo wa kujihami kwa lugha za mpira wanaita kupaki Bus yaani ni mfumo ambao timu inashambulia kwa kushtukiza na kujihami kwa kiasi kikubwa… Lakini cha kushangaza aliwahi kukutana na timu yenye tabia...
Mshambuliaji wa Yanga, Amisi Tambwe akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuifungia timu yake bao pekee katika mchezo wa Kombe la Kagame dhidi ya Khartoum ya Sudan uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mshambuliaji wa timu hiyo, Malimi Busungu. (Picha na Francis Dande) Msuva akimiliki mpira. Malimi...
Chelsea na Paris Saint-Germain zimetoka 1-1 katika Mechi ya Kirafiki ya michuano ya International Champions Cup huko Bank of America Stadium, North Carolina lakini Chelsea wamepata ushindi baada kupigiana Penati kwa kupata Penati 6-5. Majuzi, Chelsea walitwangwa Bao 4-2 katika Mechi yao ya kwanza na New York Red Bulls. Bao za mechi hii zilifungwa na Zlatan Ibrahimovic, Dakika ya 25, kwa...

waliotembelea blog