Monday, July 15, 2013

                                Xavi akiwa na mkewe Nuria Cunillera  Htimaye kiungo wa Klabu ya Barcelona ya Hispania Xavi Hernandez ameamua  kuachana na ukapela kwa kumuoa mchumba wake wa muda mrefu Nuria Cunillera,  ndoa...
Ray mtayarishaji na muongozaji wa filamu Swahiliwood. MWIGIZAJI, mtayarishaji na muongozaji mahiri wa filamu Swahiliwood Vincent Kigosi ‘Ray the Greatest’ hivi karibuni aliangusha bonge la sherehe ya siku yake ya kuzaliwa na kuwakaribishwa rafiki zake na wadau wa filamu katika moja ya Hotel, siku hiyo pia aliweza kumkumbuka swahiba yake marehemu Kanumba na kuhisi uenda angekuwepo siku hiyo. . “Ni ...
Hii ndio Ndege ya Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, inatambulika kama 5H - ...
  OPARESHENI Fichua Maovu (OFM) inayoendeshwa na mapaparazi wa Global Publishers inazidi kufichua ‘madudu’ kwenye jamii, safari hii imekutana na machangu ambao wamecharuka kuendeleza biashara hiyo kwa kisingizio cha kutafuta fedha za kununulia futari. ‘Askari’ wa OFM, wiki iliyopita alifanya uchunguzi katika viunga mbalimbali maarufu kwa biashara hiyo na kukuta machangudoa...
Baadhi ya mashabiki wakiwa na furaha kuburudishwa na mwanamuziki Jose Chameleone.Erica Lulakwa (TZ), a Singer and SongWriter based in San Francisco CaliforniaErica Lulakwa (TZ akicheza na mashabiki wake Oakland ...
                                      Agnes Gerald ‘Masogange’.                                             Sandra Khan 'Binti Kiziwi'.              ...
STAA wa sinema za nyumbani, Jacqueline Wolper amemtemea cheche msanii mwenzake, Baby Joseph ‘Baby Madaha’ kuwa anatafuta ustaa (kiki) kupitia jina lake Akifafanua kauli yake mbele ya kinasa sauti cha Stori 3, Wolper alisema anamshangaa msanii huyo kumsemea vibaya, kutoa lugha ya matusi mtandaoni bila sababu za msingi “Namshangaa Baby Madaha kwa aliyoyasema kuhusu mimi, anatafuta kiki. Watu...
MTANDAO wa wauza madawa ya kulevya unazidi kupukutika Bongo kufuatia madai ya kukamatwa kwa watu wanaodaiwa kujishughulisha na ubebaji ‘punda’ wa biashara hiyo haramu, Ijumaa Wikienda lina mtiririko wote. Hivi karibuni, Video Queen wa Wimbo wa Masogange, Agnes Gerald ‘Masogange’ amedaiwa kunaswa nchini Afrika Kusini ‘Sauzi’ akiwa na kilo mia moja na hamsini za unga unaoaminika ni sehemu...

waliotembelea blog