Kocha wa Chelsea Jose Mourinho
Nani kuibuka kidedea leo? kati ya Jose Mourinho na Arsene Wenger - Capital One Cup
Wanaweza kupanga hivi!!
Enzi hizo mwaka 2005
Mwaka 2007 Fainali kombe la Carling RAUNDI
ya 4 ya CAPITAL ONE CUP, Kesho mitanange Baadhi kupigwa Mechi kubwa na
yenye mvuto mkubwa ni ile itakayochezwa Uwanja wa Emirates kati ya
Wenyeji Arsenal na Chelsea.Usiku huo huo,...
Tuesday, October 29, 2013


Miliki
wa kampuni ya Jerusalemu filim ambae pia ni msanii na director mwenye
majina mengi ila kwasasa muite jb ameonyesha jeuri ya pesa na kukua kwa
soko lake mara baada ya kuwakutanisha mastar kibao katika filamu yake ya
mikono salama inayoongozwa na Director Adamu philip kuambiana.
Akipiga story na thesuperstars mapema hii leo jb ameseama ameamua
kufanya filamu hiyo ili kuleta ladha...
Subscribe to:
Posts (Atom)