LEO
Jumanne Usiku Robo Fainali za UEFA CHAMPIONS LIGI zitaanza kwa Mechi
mbili na moja ikiwa huko Jiji la Madrid, Spain ndani ya Estadio Vicente
Calderon wakati Atletico Madrid watakapokuwa Wenyeji wa Mahasimu wao
Real Madrid.Mechi
hii, Dabi ya Madrid, maarufu kama El Derbi Madrileño, ni Marudio ya
Fainali ya Msimu uliopita ya UEFA CHAMPIONS LIGI ambayo Real Madrid
waliinyuka Atletico...
Monday, April 13, 2015


Wanachama ACT wazalendo la wananchi wa jimbo la Morogoro mjini wakiwa katika mkutano wa ACT wazalendo leo
viongozi wa kitaifa wa ACT wazalendo wakiimba wimbo wa Taifa
kabla ya kuanza mkutano wa hadhara jimbo la Morogoro mjini leo
Wanachama wa ACT wazalendo wakiimba wimbo wa Taifa leo
Wananchi wakishiriki kuimba wimbo wa Taifa leo
Afande...


Raheem
Sterling akishangilia bao lake la dakika ya 9 kipindi cha kwanza baada
ya kuwa butu katika baadhi ya mechi na kuhusishwa kutaka kuondoka
Liverpool..leo hii usiku kawaamsha mashabiki kwenye viti kushangilia bao
lake, Newcastle United mtanange huu wameumaliza pungufu uwanjani kwao
baada ya mwenzao Sissoko kuoneshwa kadi nyekundu kwa kumchezea rafu
mbaya Lucas.
Liverpool Ushindi...


Baada
ya ushindi wa magoli 4-2 iliyoupata Manchester United mwishoni mwa wiki
uliyopita dhidi ya majirani zao Manchester City katika mchezo wa ligi
kuu ya England, meneja wa mashetani wekundu Louis van Gaal amesema
ushindi huo ni zawadi tosha kwa mashabiki wa timu hiyo. Katika mchezo
huo uliovuta hisia za mashabiki wa timu zote mbili, wageni Man City ndio
waliokuwa wa kwanza kundika bao...


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania waishio Uingereza
kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Aprili 11, 2015. Kulia
kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe.
Mtoto Tobias Kallaghe ambaye ni mtanzania anayeishi na wazazi wake
nchini Uingereza akisamasasoti nyumbani kwao, eneo la High gate London
Aprili 11, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo...
Subscribe to:
Posts (Atom)