Mwenyekiti
wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Dioniz Malinzi (kulia),
akimakabidhi Bendera ya Taifa, mmoja wa wachezaji wa timu ya Taifa wa
mchezo wa Chess, Hemed Mlawa (wa pili kushoto), Dar es Salaam leo
asubuhi kwa ajili ya kuondoka kesho kwenda kushiriki mashindano ya
kimataifa nchini Norway. Wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya
Spicenet, Vinay Choundry...
Tuesday, July 29, 2014


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu muda mfupi baada
ya kuswali sala ya Iddi El Fitr katika mshikiti wa Maamur Upanga jijini
Dar es Salaam leo asubuhi.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete
akisalimiana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu muda mfupi baada
ya kuswali sala ya Iddi El Fitr katika mshikiti wa Maamur...


CRISTIANO Ronaldo ameshinda tuzo ya Goal 50 ya mchezaji bora wa dunia baada ya kuwa na msimu mzuri wa 2013-14.Mshambuliaji
huyo ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya tatu kama sehemu ya kuheshimu kazi
aliyoifanyia Real Madrid kutwaa taji la 10 la ligi ya mabingwa barani
Ulaya.Nyota huyo mwenye miaka 29, pia alishinda kombe la mfalme
(Copa del Rey) na kufunga magoli 51 katika mashindano yote ya...



Manchester
City imetangaza vifaa vyao vipya vya msimu ujao ambavyo vijana wa
Manuel Pellegrini watakuwa wakitupia wakati wakijaribu kutetea taji lao
la Premier League.Mbingwa hao wameutangaza uzi wa rangi ya buluu
iliyo iva kutoka kampuni ya vifaa vya michezo ya Nike zikiwa zimesalia
siku 16 kabla ya uzinduzi wa msimu mpya ambao utatanguliwa na mchezo wa
ngao ya jamii dhidi...


KLABU
za Jiji la Machester, Mabingwa wa England Manchester City na Manchester
United waliovuliwa Ubingwa na City, wanaongoza Makundi ya Mashindano ya
International Champions Cup. Upo uwezekano kwao kukutana kwenye Fainali
ya Mashindano haya hapo Agosti 4 ikiwa wataendeleza wimbi lao la
ushindina hivyo kuhamisha uhondo wa Dabi ya Manchester huko Sun Life
Stadium, Miami, Florida.Man United,...


JOSE
Mourinho amefurahishwa na urejeo wa Didier Drogba na anatarajia mshambuliaji
huyo ataisaidia Chelsea msimu uliopita.
Mshambuliaji
huyo wa kimataifa wa Ivory Coast alisaini mkataba wa mwaka mmoja ijumaa ya wiki
iliopita kufuatia mkataba wake kumalizika na klabu ya Galatasaray ya Uturiki.
Drogba
alifurahia miaka nane akiwa darajani, kuanzia mwaka 2004 hadi 2012.
Nyota
huyo...



KATIKA historia yake, klabu ya Simba haijawahi kuwa na uwanja
wake wa mazoezi, hivyo kujikuta anahangaika miaka nenda rudi.
Lakini kwasasa unaweza kusema imedhamiria kujenga uwanja wa
mazoezi maeneo ya Bunju jijini Dar es salaam.
Ismail Aden Rage alipokaribia kumaliza muda wake alianza
mchakato wa kujenga uwanja wa Bunju akisema wanataka kupata sehemu ya kufanyia
mazoezi.
Pia...



Msanii
chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama leo alifuturisha wasanii,
ndugu,jamaa na marafiki zake ikiwa ni ishara ya kumkumbuka marehemu mama
yake mzazi ambaye alishatangulia mbele ya haki. Akitoa shukrani zake
kwa waalikwa, alisema ameona vyema kuandaa chakula cha pamoja ili waweze
kumuenzi mama yao mzazi kwa vile alipenda sana watu hasa kukutana na
kupata...
Subscribe to:
Posts (Atom)