KOCHA mpya wa Simba, Muingereza Dylan Kerr amesema ataendeleza wachezaji chipukizi ili kuwa na timu bora kwa sasa na baadae.Kerr
aliyasema hayo baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere na kulakiwa na wajumbe wa Kamati ya Simba, Collin
Frisch na Said Tully.“Nimefurahi kuja Tanzania na nawaahidi
viongozi na mashabiki kuwa nitahakikisha naendeleza wachezaji...
Friday, June 26, 2015


Morgan Schneiderlin
Manchester United wanajiandaa kutoa kitita cha £24million kumnasa Mchezaji wa Southampton Morgan Schneiderlin. Mchezaji
huyo alikuwa akiwaniwa na Arsenal na Tottenham lakini vyanzo
vinaonesha Man United Pekee ndio yenye nafasi nzuri kumnunua mchezaji
huyo na taratibu zitakamilia wiki ijayo...



Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini
(TFF) leo limefungua kozi ya makocha wa mpira wa miguu kwa watoto na
vijana kwa nchi nzima kwa lengo la kuhakikisha vijana wengi wanapata
nafasi ya kufundishwa mpira na kuucheza mpira kuanzia katika umri mdogo.
Akifungua kozi hiyo, Katibu Mkuu wa TFF Mwesigwa Selestine amesema
ili nchi/Taifa lifanikiwe katika soka ni lazima kuwekeza katika mpira
wa...
UHAMISHO 2015: WEST HAM UNITED WAMSAJILI DIMITRI PAYET KWA £10.7MILLIONI, ASAINI MKATABA WA MIAKA 5.


West Ham leo Ijumaa wamemsajili Payet kwa kitita cha £10.7m na hapa akiwa anapimwa AfyaAkisaini mkataba wa miaka 5 leo hii IjumaaWest Ham tayari wanae Winga ambaye walikuwa wanamfukuzia siku nyingi Dimitri Payet kutoka Klabu ya Marseille ya Ufaran...


Manchester
United imeionya Real Madrid kwamba wanapaswa kulipa zaidi ya ile Ada ya
Uhamisho inayoshika Rekodi ya Dunia kwa Kipa ikiwa wanamtaka Kipa wao
David De Gea. Habari zimedai ili kumng'oa Kipa huyo kutoka Spain
huko Man United lazima Wanunuzi wavunje Rekodi ya ununuzi wa Kipa wa
Italy Gianluigi Buffon iliyowekwa 2001 kwa kulipwa Pauni Milioni 32.6
aliponunuliwa kutoka Parma na...


Saa
zisizopungua 48 baada ya klabu ya Manchester United kuripotiwa kutuma
ofa ya kumsajili beki wa kimataifa wa Spain, Sergio Ramos, klabu yake ya
Real Madrid imepokea ofa hiyo na imetoa uamuzi.
Manchester
United, juzi walituma ofa ya £35million kwa ajili ya kupata saini ya
Ramos na klabu ya Madrid wameipiga chini ofa hiyo.
Madrid walimpa...
Subscribe to:
Posts (Atom)