Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania, Frank Filman
(kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST,
kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Lilian Festo Mjimba katika hafla iliyofanyika Makao
Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni washindi wengine wa droo hiyo.
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania, Frank Filman
(kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST,
kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Lilian Festo Mjimba katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya
Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania, Frank Filman
(kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST,
kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Mama lishe Efgenia Mathew Mushi katika hafla iliyofanyika Makao
Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni washindi
wengine wa droo hiyo.
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania, Frank Filman
(kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST,
kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Kinyozi Juma Ally Songoro katika hafla iliyofanyika
Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania, Frank Filman
(kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST,
kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Kinyozi Juma Ally Songoro katika hafla iliyofanyika
Makao Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania, Frank Filman
(kulia), akikabidhi mfano wa funguo za magari mapya aina ya Toyota IST,
kwa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha Zaidi’,
(kutoka kushoto), Subeti Salim Subeti, Kuruthumu Seleman Forogo, Juma
Ally Songoro, Liliani Festo Mjimba, Christone Edick Mbalamula, Efgenia
Mathew Mushi na Obel Samwel Mwamugiga katika hafla iliyofanyika Makao
Makuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana.
Mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Subeti Salim Subeti akionyesha kwa waandishi wa habari (hawapo
pichani), funguo ya gari jipya aina ya Toyota IST, baada ya kukabidhiwa
na Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania,
Frank
Filman (kushoto), katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel jijini
Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni watoto wa mshindi huyo.
Mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Kuruthumu Seleman Forogo akionyesha kwa waandishi wa habari
(hawapo pichani), funguo ya gari jipya aina ya Toyota IST, baada ya
kukabidhiwa na Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel
Tanzania,
Frank Filman (kushoto), katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya Airtel
jijini Dar es Salaam jana. Anayeshuhudia ni kaka wa mshindi huyo, Yasin
Juma.