Mabingwa
Watetezi wa International Champions Cup, Manchester United, Mwezi Julai
huko USA watakuwa na kazi ya kutetea Taji lao walilotwaa Mwaka Jana
wakati Mashindano haya yatakapochezwa tena yakishirikisha Vigogo wa
Ulaya. Zipo Timu 10, wakiwemo Mabingwa Man United, ambazo
zitashiriki na nazo ni Barcelona, Chelsea, PSG, Porto na Fiorentina,
kutoka Ulaya pamoja na Klabu ya Mexico, Club...
Wednesday, April 15, 2015


Kipindi
cha pili dakika ya 67 Luis Suarez alipenyeza kwa mapeki n kuachia shuti
na kumfunga kipa wa PSG baada ya kupenyezewa mpira na Martín Montoya na
kufanya 2-0 dhidi Bayern Munich ya Ujerumani. 3-1...suarez akipongezwa baada ya kufunga bao mbili peke yake usiku huuBao
la Tatu lilifungwa tena na Luis Suarez dakika ya 78 na kufanya 3-0. Bao
la PSG lilifungwa na Gregory Van...


FC
Porto walipata bao la kwanza kupitia kwa Ricardo Quaresma dakika ya 3
kwa mkwaju wa penati na bao la pili dakika ya 10 kupitia kwa mchezaji
huyo huyo Ricardo Quaresma. Bao la Bayern Munich lilifungwa na Thiago
Alcantara dakika ya 28 kipindi hicho cha kwanza na kufanya 2-1.
Kipindi
cha pili Jackson Martínez wa FC Porto alipewa pasi safi na Alex Sandro
na kukatiza kwa mabeki...


Kocha
wa Klabu ya Bundesliga ya Germany Borussia Dortmund, Jurgen Klopp,
ametangaza kuachana na Klabu hiyo inayosuasua Msimu huu.Kocha huyo ambae
Mkataba wake ulikuwa unamalizika 2018 amesema ataondoka Klabuni hapo
mwishoni mwa Msimu.
Klopp, mwenyevMiaka 48, alijiunga na Dortmund Mwaka 2008 na kuiwezesha
kutwaa Ubingwa wa Bundesliga Mwaka 2011 na 2012 ikiwa na pamoja na
kutwaa Dabo akiweka...



Mabingwa
Watetezi wa Ligi Kuu Vodacom, Azam FC, Leo wako huko Tanga kucheza na
Mgambo JKT Uwanjani Mkwakwani wakiwania ushindi na kupunguza pengo la
Pointi 8 kati yao na Vinara Yanga. Yanga wanaongoza Ligi wakiwa na Pointi 46 wakifuatiwa na Azam FC, waliocheza Mechi 1 pungufu, wakiwa na Pointi 38. Wikiendi
iliyopita, Azam FC walipata pigo la kutetea Ubingwa wao baada ya kutoka
Sare ya 1-1...


Baada
ya Mechi za kwanza za Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONS LIGI kuchezwa
Jumanne Usiku kwa Mechi mbili, Jumatano Usiku pia zipo Mechi nyingine
mbili.
Huko Uwanja wa Parc des Princes, Paris, France, Paris Saint-Germain wataivaa FC Barcelona. VIKOSI VINATARAJIWA: PSG: Sirigu; Van der Wiel, Marquinhos, Thiago Silva, Maxwell; Matuidi, Cabaye, Rabiot; Pastore, Lavezzi, Cavani. -Hawatacheza:...



Linkwithin
Mkurugenzi wa Teknolojia ya Habari wa Airtel Tanzania, Frank Filman
(kulia), akikabidhi mfano wa funguo za gari jipya aina ya Toyota IST,
kwa mmoja wa washindi wa droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Airtel Yatosha
Zaidi’, Lilian Festo Mjimba katika hafla iliyofanyika MakaoMakuu ya Airtel jijini Dar es Salaam jana. Wanaoshuhudia ni washindi wengine wa droo hiyo.
Mkurugenzi...
Subscribe to:
Posts (Atom)